TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

...Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

...Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

...Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

...Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

...Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed...

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Hakuna Msafi Ccm jiandaeni kuwa Wapinzani
 
urais ni zaid ya eti kuunganisha chama

lowasa ataunganisha taifa
 
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.

Hivi watanzania au UKAWA wana ugomvi na mtu? Chama?
 
Huyo jamaa hana jipya sana zaidi ya kutojulikana. Ila mimi nadhani watanzania kuna haja ya kufanya maamuzi sahihi. Makongoro aka chapombe hafai kabisa.

Watanzania walio wengi bado sana mkuu kwa hili jina tu la Nyerere ccm watapata pa kusimamia.
 
Sio km naogopa ila naongelea fact ndugu yangu watanzania wengi bado sana then jina la Nyerere still lina sound masikioni mwa watanzania wengi,hii ni karata dume kwa magamba...mark my word!!

UKAWA wanajitoa ufahamu kama hilo nalo hawalitaki.

Huu utitiri wa wagombea ulikuwa mpango mkakati wa wazee wa chama ili kuonekane kama kuna ushindani mkubwa na pia ili iwe rahisi kufutilia mbali jina tishio la Lowassa.

Hatuna chetu.
 
UKAWA wanajitoa ufahamu kama hilo nalo hawalitaki.

Huu utitiri wa wagombea ulikuwa mpango mkakati wa wazee wa chama ili kuonekane kama kuna ushindani mkubwa na pia ili iwe rahisi kuyafutilia mbali jina tishio la Lowassa.

Hatuna chetu.

Kujeni UKAWA kama mko serious. Wamewamwagia ugali wamwagieni mboga
 
Mimi nafikir Lowassa Ana nafasi kubwa lakini in the event kuwa wana ccm wanaamua kuachana na siasa za visasi za wanamtandao na kwa namna Lowassa alivyo na nguvu ..Mgombea atakayeweza kukabiliana na hasira za Lowassa ni Makongoro

Lowassa haepukiki lakini huwezi kumkata ukampitisha yeyote Zaidi ya Makongoro na ukategemea ccm ishinde ...Huyu Ana charisma na nyota

http://www.youtube.com/watch?v=zF7mXjg6dHw
 
...Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

...Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

...Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

...Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

...Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed...

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Ukimpa chama mhuni, atakimbia nacho halafu utaishia kukitafuta mfukon - C. M. Nyerere
 
Mi nadhani wana ugomvi na chama au mfumo maana siku zote nawasikia wakisema maC.M wamatufikisha hapa hawamtaji mtu

Sawa ila kwa watanzania walio wengi still wana mpenda na kumpigia kura mtu na sio chama mifano ni mingi therefore kwa ukawa wanapiga kote kote mtu na chama chama chake!!
 
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.

Yoyote anaefikiria jina kuwa kigezo haitakii mema nchi hii na ccm wakimpitisha makongoro kwa kigezo hicho wamewaongezea watanzania sababu ya kuwakataa na hakika patachimbika maana kimsingi hii si nchi ya kifalme!
 
Back
Top Bottom