Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,432
kwani mi nimetangaza nia mkuu?
We si unapigia upatu UKAWA?! Wakishinda si umeshinda au minndo sielewi hesabu?!
kwani mi nimetangaza nia mkuu?
Ccm wakimuweka Makongoro kama mgombea wao nitakuwa neutral. Kura yangu nitawapa ukawa lakini hatakama akishinda mgombea wa ccm bado sitahuzunika kwavile wote watakuwa kipenzi cha moyo wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi
Mkuu,
Sio uzushi, na sijasema Mkapa Alikuwepo. Kuwa muelewa.
Haya mambo yalikuwa 'behind the scene' ila sasa yamedhihirishwa na hao wazee kuwa wapo upande upi.
Ushauri wao ni kwamba: Makongoro ataunganisha wana CCM ambao kwa mujibu wa maelezo yao, CCM kwa sasa imejaa nyufa.
We una onaje?
We si unapigia upatu UKAWA?! Wakishinda si umeshinda au minndo sielewi hesabu?!
obama naskia alikua anakula ganja na uhuru kenyatta pia naskia anakula kitu cha R.
Eti???? Hahaahahhahhaaaaaa nimecheka sanaKwa kutumia macho!!
Eti???? Hahaahahhahhaaaaaa nimecheka sana
Mkapa alikuwa analewa hadi anaanguka ...Sikukuu Wazee wa Usalama wanamfuata pale Upanga Club ...kumpeleka Msasani akakutane na Wazee wa Chama kumueleza kuwa yeye Ndio chaguo Lao urais ...alikuwa amelewa chakari ....na akaaza kulia Kama mtoto akijua labda kaharibu ...na akiona Aibu kupelekwa kwa Mwalimu Hali kalewa
Viongozi Wengi ni walevi na wamekiri kuvuta Bangi......, kuna uhusiano pia mkubwa Kati ya charisma na kupendwa na mabibi .....Ndio Maana wanasisasa wengi Kama Clinton ,Blair ,Etc wamekiri hayo ..bila kumtaja Kikwete ..
Lowassa ambaye Ana nafasi kubwa Zaidi ya makongoro kuwa rais ...naye alikuwa Mlevi wa kulala baa ...kaacha mwaka 2008 baada ya kupata mild attack ...ambayo ame rocover baada ya kuachana na pombe ....
Uhuru Kenyatta ...karibuni kijana anayempelekea cha Arusha alikamatwa ikulu ...ikabidi wafunike .... Na Huyu ...alikuwa analewa hadi anabebwa kupelekwa nyumbani na marafiki na wana usalama kwa heshima ya baba yake ..,hadi mkewe analia ...lakini wote hawa vichwani ni wembe
George bush jr alipitia mapito ya kuwa coccaine addict hadi akawa " mrombo " mkewe akataka kukimbia likichomsaidia ni kuokoka ....na baadaye bush akapelekwa rehabilitation akapona ....mtoto wa bush aliyetegemewa kuwa rais ni Jeb Bush .......George hata baba yake alishamkatia Tamaa
Nipo Mpwa wangu, naangalia jamaa wanavyotoana damu huku wakidai kuwa eti wana ngozi ngumu!!!!! Ila moyoni wanalia kwa maumivuMpwa upo?
Huu ndio ukweli mchungu CCM ni Makongoro Nyerere,Lowassa asipoteze muda,fedha na pengine ni vyema akaitunza afya yake asije akakumbwa na magonjwa ya shinikizo la damu.Lowassa hajawahi wala hatatokezea akawa kipenzi cha watanzania.
Makongoro ni project ya viongozi wa EA hasa Museveni anayetaka kumwachia nchi Brigedia Muhonzi anajua Makongoro akifanikiwa huku Tanzania atakuwa na chakuwaambia waganda watazame Tanzania na Kenya wamefanya nini.UKAWA mjipange sana jina la Nyerere kubwa linaweza kuwaadaa waTanzania wengi.
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.
Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.
Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.
Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.
Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.
Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.
Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.
UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.
Hamy D naona umeanza kuchanganyikiwa.... Makongoro ata ukimuweka na Kafulila atapigwa asubui na mapemaTayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.
Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.
Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.
Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.
Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.
Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.
Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.
UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.