TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

Why mkuu?

Kwa sababu hizi
1.Wapiga kura wa watz wengi ni vijana walizaliwa wakati Mwl Nyerere kaishs ondoka madarakani so they will not carried away easily with "Nyerereism"
2.Makongoro hana records iliyo tukuka
3.Maisha magumu mno kwa watz sababu ya CCM so yyt atakaye simamishwa na CCM itaonekana ni wale wale
4.CCM inaingia uchaguzini ikiwa imegawanyika mno kuliko muda wowote ule
5.CCM inaingia uchaguzini bila uhakika wa kushinda dola sababu upinzani umekua
 
Sio km naogopa ila naongelea fact ndugu yangu watanzania wengi bado sana then jina la Nyerere still lina sound masikioni mwa watanzania wengi,hii ni karata dume kwa magamba...mark my word!!

Its true kabisa jina la Nyerere bado linauzika na kuaminika
 
Makongoro sifa aliyonayo ni ile ya kuachiwa fimbo aliyokuwa anatembea nayo Nyerere hakuna sifa nyingine hivyo kwa vile asilimia 85% tunaishi kwa kuongozwa na Masaburi aka makal.....o tutashobokea fimbo.
 
Tanzania kama Tanzania, hakuna upinzani wa ukweli, hakuna cha hao UKAWA au nani sijui, maana ukiviangalia vizuri hivyo vyama vya upinzani vinaendeshwa kwa matukio, hawana sera za kueleweka utakuta tukio fulani likitokea, basi wamelishikilia, likiisha wanakaa kimya likitokea tukio lingine basi wanalishupalia hivyo hivyo reference mgomo wa madereva wa mabasi, katiba mpya, etc etc yani Tanzania hakuna upinzani bado, ni unafiki kwenda mbele na uchu wa madaraka
 
Kujeni UKAWA kama mko serious. Wamewamwagia ugali wamwagieni mboga

Nishaongea na CHADEMA siku wakiona Lowassa kakatwa Nina waje na kadi na gwanda,maana kila mtu anaishi kwa matumaini, ukiona tumaini lako halipo tena Ni jambo mhimu kugeukia njia nyingine.
 
Mimi nafikir Lowassa Ana nafasi kubwa lakini in the event kuwa wana ccm wanaamua kuachana na siasa za visasi za wanamtandao na kwa namna Lowassa alivyo na nguvu ..Mgombea atakayeweza kukabiliana na hasira za Lowassa ni Makongoro

Lowassa haepukiki lakini huwezi kumkata ukampitisha yeyote Zaidi ya Makongoro na ukategemea ccm ishinde ...Huyu Ana charisma na nyota

http://www.youtube.com/watch?v=zF7mXjg6dHw

Huu ndio ukweli mchungu ....... nilidokezwa November mwaka jana nikapuuza ..... kweli CCM ina wenyewe .....
 
...Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

...Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

...Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

...Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

...Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

...Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed...

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.
Duh!
wee si Lwasa damu wewe! Kweli kimenuka!!
 
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.

Unatuita watanzania mazuzu wakati huohuo unataka tukuchague?!!
 
Kwa sababu hizi
1.Wapiga kura wa watz wengi ni vijana walizaliwa wakati Mwl Nyerere kaishs ondoka madarakani so they will not carried away easily with "Nyerereism"
2.Makongoro hana records iliyo tukuka
3.Maisha magumu mno kwa watz sababu ya CCM so yyt atakaye simamishwa na CCM itaonekana ni wale wale
4.CCM inaingia uchaguzini ikiwa imegawanyika mno kuliko muda wowote ule
5.CCM inaingia uchaguzini bila uhakika wa kushinda dola sababu upinzani umekua

Tuombe Mungu mkuu.
 
Makongoro anaweza kushika nafasi ya pili nyuma ya Dr. Slaa kama ilivyokuwa kwa Uhuru Kenyata kule Kenya alipogombea kanu badala ya mmasai George saitoti. Ngoja ya Kenya yajirudie hapa kwetu
 
Kilichomfanya Charles Nyerere kurudi CCM ni nini wakati baba yake alisema CCM sio mama yake na yamkini angekuwa hai leo angeisha jiondokea? Hatutaki wine ya zamani kwenye chupa mpya, tunataka wine mpya kwenye chupa mpya.
 
Ccm wakimuweka Makongoro kama mgombea wao nitakuwa neutral. Kura yangu nitawapa ukawa lakini hatakama akishinda mgombea wa ccm bado sitahuzunika kwavile wote watakuwa kipenzi cha moyo wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi
 
Back
Top Bottom