Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Why mkuu?
Kwa sababu hizi
1.Wapiga kura wa watz wengi ni vijana walizaliwa wakati Mwl Nyerere kaishs ondoka madarakani so they will not carried away easily with "Nyerereism"
2.Makongoro hana records iliyo tukuka
3.Maisha magumu mno kwa watz sababu ya CCM so yyt atakaye simamishwa na CCM itaonekana ni wale wale
4.CCM inaingia uchaguzini ikiwa imegawanyika mno kuliko muda wowote ule
5.CCM inaingia uchaguzini bila uhakika wa kushinda dola sababu upinzani umekua