TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

Kwa jinsi nchi ilipofikia inahitaji Rais 'kichaa' dizaini ya Makongoro.
 
Tatizo vijana wengi mnaingia kwenye siasa kwa uoga,watanzania wa sasa wameshaichoka ccm,hata akigombea malaika kwa sasa ccm imeshapitwa na basi lielekealo ikulu,na kwa taarifa yako ccm wamepanga kumpitisha dr shein awe mgombea urais,ndiyo maana Jana Ally karume katangaza kugombea.kama una macho tazama hii movie

Hiii kitu numesikia wazee wanaongea,sijaelewa kabisa
 
kumbe yule fundi mwashi kweli huwa anajua jua ishu hizi
 
Nguvu ya Umma itampeleka Lowassa Ikulu .. subiri muone ... Huu utawala wa kifalme ktk Afrika utaisha lini? ... So baada ya Makongoro Nyerere ni Hussein Mwinyi au ...
 
tayari wazee wa chama ikiwemo mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee mkapa, mzee mwinyi na karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa watanzania waliyonayo kwa lowassa, ccm imeamua vinginevyo.

Mgombea urais kupitia ccm 2015 ni makongoro nyerere. Confirmed.

Ukawa jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.
ukoo wa panya
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.
Mkuu umekula like yangu kwa sababu thread za namna hii ndo zenye mashiko. Unakuta mtu amekazana Lowasa hafaiiiii, halafu hakuna mbadala. Pale huwa nakosa kujuwa sasa ni yupi tumjadili! Sasa huku vijiweni tunaanza kujadili huyu uliyemtaja, yaani Mako.
Sasa ukawa tunajadili nani? Au ndo maayatola wameamua kugombea ubunge tu?
 
Kwa maana hiyo unatuambia kuwa raisi wa tanzania anawekwa, na sio anachaguliwa na watanzani. Uchaguzi huru uko wapi, demokrasia iko wapi, si kikundi cha watu kinamweka mtu wao ili kilinde madlahi yao. Ndio maana siajiandikisha na sitapiga kura. Unatetea upuuzi na wewe. Aibu zako
 
i am here giving you my word. ''Any person, aje from any side, and with any style. Mwaka huu tunakata mzizi wa fitna. If you want to get in consideration with this look n this facts. Wao wenyewe wanavyoumbuana .
OOHH, Huyu mwizi, Mara yule mpole , sijui ni huyu mtoto hajui anachokisema , Mara hao wazee na kauli nyingine ka hizo , nadhani mwaka huu boya la ''KIJANI'' limejaa upepo na kimbunga cha WANANCHI kinavuma baharini . Lets forget them for some time aiseeee.
 
Hehe wakimpa Makongoro Nyerere alafu watanzania wampe kura apite ntaona nchi imejaa vichaa...
Huyu jamaa from nowhere kisa ana jina la babake, last name ya Nyerere doesn't make him Nyerere, wengi ndo first time wanamsikia huyu jamaa...
 
Kazi za Rais Nyerere zinajulikana tu kwa wazee na watu wa makamo. Wakati Nyerere anafariki mwaka 1999, mpiga kura wa sasa mwenye umri wa miaka 18, alikuwa mtoto mdogo mwenye umri wa miaka miwili tu. Hivyo kutumia jina la Nyerere kushinda, siyo rahisi kihivyo!
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.


Mockery!
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Kama unajidanganya na Mwinyi na Mkapa umepotea, hao wapo huku:

 
Last edited by a moderator:
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Hivi nani kakudanganya kuwa EL anapendwa na watanzania?? Ana kundi lake alilolitengeneza ndio wanaomuunga mkono
 
Back
Top Bottom