The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Unaongelea vitu vilivyo irrelevant kabisa.
Na hakuna nilichoshindwa kuelezea bali kilichopo ni ulichoshindwa kukielewa wewe na matokeo umeanza kuzungumzia mambo yasiyo kabisa.
Oh well...
Naomba tuhitimishe sijaelewa mkuu. Tuwaachie wenye team zao wajivinjari kwenye hii tasnia.