Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Kwa kuwa yote ni matunda, Umeshamaliza mjadala.
Hujaelewa ndo maana unadhani nimemaliza mjadala
Kwa kuwa yote ni matunda, Umeshamaliza mjadala.
Hujaelewa ndo maana unadhani nimemaliza mjadala
Hivi hajatoa tamkoha ha ha ha bwaaa ngoja nicheke kama Le kubwa jingazzzz
Ambacho sijaelewa ni kitu gani hapo?
Kwamba ushabiki wa mpira ni tofauti na huu wa mambo ya team kufikia kufuatilia maisha binafsi ya watu?
Ilimradi wote wanafanya ushabiki, wote walewale tu tofauti yao ni namna na kiwango cha ushabiki wao.
Nawe je inakuhusu?maana umeikomalia
Hahaaa unaona sasa!
Uthibitisho zaidi kuwa hujaelewa!
RabaikaMama sabrina
Nina privacy issue nawewe kama hutojali njoo pmRabaika
Na wanatamaniiDiamond kumtandika mimba ex-GF wake imekuwa gumzo na wengine kufikia hatua ya kusema eti wanajitoa kuwa fans wa Diamond au wanatamani wangekuwa wao ndio Zari ili warevenge au wafanye chochote. Really? Alichofanya sio kituko kwenye dunia hii and people should let him live the way he wants.
Unachokisema kingebaki kuwa kweli endapo huo msemo ungekua na maana moja, kwa kuwa unaweza kutumika kutokana na mazingira tofauti, turahisishe kama unayodai sijaelewa.
Mwisho wa yote inapomuja ushabiki, umeshindwa kueleza unachofaidi ukishabikia team ya mpira. Kwenye maisha kuna watu wa kila aina hauwezi kulazimisha wote wakafanana mitazamo au wanachokipenda. Kuweza kuchukuliana na watu wa kafa zote nako ni ukomavu.
Usibeze kwakuwa wewe unaona haina maana. Kuna wengine watakushangaa ukiwaletea habari za mpira au riadha...udaku ndio kila kitu kwao. Alimradi haikuathiri kwa namna moja ama nyingine unaacha waendelee na wanachokipenda.
Hivi watu mnafaidi nini Diamond kuzaa na huyo Hamisa?
Au mtafaidi nini kwa mfano Diamond akiachana na Zari?
Au mnafaidi nini Diamond akiwa anatoka na msichana wa Kitanzania au mnakosa nini Diamond akitoka na msichana asiye Mtanzania?
Mtu ukute huyo Diamond hata hakujui lakini unakosa usingizi kisa anatoka na mdada kutoka Uganda!
Ushabiki wa kipumbavu sijapata kuona.
Aaah wapi ,tena leo tumepata ushindi wa asubuhi asubuhi
Huyo Hamisi Mobeto ameonekana wa ajabu sana na pia wapambe wake waliokuwa wanamjaza ujinga wanamcheka chinichini kwa sasa.
Nawe je inakuhusu?maana umeikomalia
Nauelewa ushabiki wa muziki.Hua najiuliza sana haya maswali sijui faida gani wanaipata ukizingati hawaingizi hata sumni kwa upuuzi wao mbaya zaidi wapo wanaume kabisa wameumia eti Diamond kazaa na uyo mdada na wapo vidume wanapiga shangwe yule mama watoto wake wa Uganda eti kakomeshwa duh kuna tatizo sehemu na hizi timu zao.