Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,561
Aaah wapi ,tena leo tumepata ushindi wa asubuhi asubuhi
Mambo ya uteam hayoo,,team hamisa ndio wanawatania team zari maana walikua wakimchamba hamissa kua mtoto sio wa daiUshabiki wa kitoto sana huu!!
Hamissa kafanya vizuri sana ,,,subirini mtoto wa piliiAaah wapi ,tena leo tumepata ushindi wa asubuhi asubuhi
Huyo Hamisi Mobeto ameonekana wa ajabu sana na pia wapambe wake waliokuwa wanamjaza ujinga wanamcheka chinichini kwa sasa.
Kabisaaa,,,zari atakua kaumia sana ndio ajue mwanaume hanaga mwanamke mzuriiWamefyata vimidomo.. Hawa wanaume hawatabiriki kama mvua za kiangaz
Ukiwa nae tulia tu wala ucjshaue jamani!
Mambo ya uteam hayoo,,team hamisa ndio wanawatania team zari maana walikua wakimchamba hamissa kua mtoto sio wa dai
Ndio utuwache sasa,,,tumefurahi akizaa na hamissaHivi watu mnafaidi nini Diamond kuzaa na huyo Hamisa?
Au mtafaidi nini kwa mfano Diamond akiachana na Zari?
Au mnafaidi nini Diamond akiwa anatoka na msichana wa Kitanzania au mnakosa nini Diamond akitoka na msichana asiye Mtanzania?
Mtu ukute huyo Diamond hata hakujui lakini unakosa usingizi kisa anatoka na mdada kutoka Uganda!
Ushabiki wa kipumbavu sijapata kuona.
Ndio utuwache sasa,,,tumefurahi akizaa na hamissa
Hata kwa ndumba haiwezekani ,atatuharibia huyu.Hamissa kafanya vizuri sana ,,,subirini mtoto wa pilii
Kuzaa kwao kunakuhusu?
Hakunihusu ila habari inanihusuKuzaa kwao kunakuhusu?
Alisema kwani awe anapewa sh.ngapi?Hata kwa ndumba haiwezekani ,atatuharibia huyu.
Kama huyu mtoto wa kwanza tu hivi ,je akipata wa pili si atataka kila show atakayofanya Diamond nusu ya pesa apewe yeye.
Habari inakuhusuje wewe?Hakunihusu ila habari inanihusu
Nawe je inakuhusu?maana umeikomaliaHabari inakuhusuje wewe?
PESA TASLIM SHILINGI MILIONI TANO ZA KITANZANIA....KWA KILA MWEZI.Alisema kwani awe anapewa sh.ngapi?