EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kuna reggae moja iliyoimbwa na homeboy Innocent Galinoma. Naomba tuu ninukuu maneno ya blogu Changa Moto Yetu
"Inno anaweka wazi yale ambayo yanayoendelea kutokea nchini mwetu. Inno anawauliza wale walio kwenye madaraka madaraka kama wanatambua maswali ambayo wanapaswa kujibu kwa watoto wa Afrika ambao wanakabiliwa na matatizo sugu yasiyoonekana kuwa na mwelekeo ama tumaini la kutokomea ndani ya kizazi chao huku waheshimiwa hao wakiendesha na kuishi maisha mwanana.
Ni hao hao ninaoamini anawashangaa kwa kuwakandamiza wa Waafrika wenzao na kujitengenezea maisha mazuri kwa mgongo wao. Swali kubwa analouliza Inno ni kwamba kwanini tusiishi kama Mungu alivyopenda tuwe? Tumekuwa watu wa visingizio vya kuwepo kwa rushwa, umaskini na mauaji kila mahali lakini ukweli utabaki kuwa tunashindwa kujiuliza twaelekea wapi.
Inno anasema "tell the children the truth right now, right now; what's going on with their economy, rain is falling but there's no food why, where is justice, where is equality, why there is murder, poverty and blood everywhere, where is education, medication for my children?......tell me the truth right now"
1. Kuna Ardhi, mito, mabonde na mvua za kutosha, lakini tunadanganyana na kilimo kwanza kwa njia ya propaganda (hakuna maandalizi ya kutosha)
2. Kuna madini na rasilimali za kila aina, miti wanyama na viumbe adimu duniana lakini wananchi hawanufaiki nanvyo.
3.Kuna ujambazi wa kutisha kila mahali hapa nchini, lakini Polisi wetu wanakuja na majibu mepesi kw amaswali magumu. WHY!
4.Elimu yetu inachechemea, na hakuna jitihada zozote za kuikwamua zaidi ya blah blah!!!
5. Matibabu yetu katika hosipitali za serikali zinatia kichefuchefu, hakuna dawa wala madaktari tunadanganywa na wanasiasa kuwa kutakuwa na zahanati kila kata klumbe ni maneno ya jukwaani tu....." ("The Way You See The Problem Is The Problem": Them, I & Them.......AFRICANS.....Innocent Galinoma)
Sikiliza kibao cha Inno hapo chini. "When I listen to the news, I get so confused, my people are down, by the laws of men.
Then, kuna the legend Lucky Dube. Nimekuwa nikisiliza reggae zake tokea nikiwa mtoto na bado naindelea kuzisikiliza. Reggae ambayo naona ina-reflect kilichotokea hivi karibuni nchini mwetu inaitwa THE WAY IT IS. This song is very good to hear it and that message courages me everytime when I get problem concerning our political matters.
Didn' t I raised my voice
High enough for you
I was running like a fugitive all the time
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don' t even know my name
It' s so funny, we don' t talk anymore
Be good to the people on your
Way up the ladder
Cause you' ll need them on your way down
Chorus:
That' s the way it is x4
Didn' t I raised my fists high enough for you
I guess I can' t pat myself on the shoulder
For a job well done
Dodging bullets in the streets
I was there
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don' t even know my name
remember
Be good to the people on your way
Up the ladder 'cause you' ll need
Them on your way down
Chorus:
That' s the way it is
"Inno anaweka wazi yale ambayo yanayoendelea kutokea nchini mwetu. Inno anawauliza wale walio kwenye madaraka madaraka kama wanatambua maswali ambayo wanapaswa kujibu kwa watoto wa Afrika ambao wanakabiliwa na matatizo sugu yasiyoonekana kuwa na mwelekeo ama tumaini la kutokomea ndani ya kizazi chao huku waheshimiwa hao wakiendesha na kuishi maisha mwanana.
Ni hao hao ninaoamini anawashangaa kwa kuwakandamiza wa Waafrika wenzao na kujitengenezea maisha mazuri kwa mgongo wao. Swali kubwa analouliza Inno ni kwamba kwanini tusiishi kama Mungu alivyopenda tuwe? Tumekuwa watu wa visingizio vya kuwepo kwa rushwa, umaskini na mauaji kila mahali lakini ukweli utabaki kuwa tunashindwa kujiuliza twaelekea wapi.
Inno anasema "tell the children the truth right now, right now; what's going on with their economy, rain is falling but there's no food why, where is justice, where is equality, why there is murder, poverty and blood everywhere, where is education, medication for my children?......tell me the truth right now"
1. Kuna Ardhi, mito, mabonde na mvua za kutosha, lakini tunadanganyana na kilimo kwanza kwa njia ya propaganda (hakuna maandalizi ya kutosha)
2. Kuna madini na rasilimali za kila aina, miti wanyama na viumbe adimu duniana lakini wananchi hawanufaiki nanvyo.
3.Kuna ujambazi wa kutisha kila mahali hapa nchini, lakini Polisi wetu wanakuja na majibu mepesi kw amaswali magumu. WHY!
4.Elimu yetu inachechemea, na hakuna jitihada zozote za kuikwamua zaidi ya blah blah!!!
5. Matibabu yetu katika hosipitali za serikali zinatia kichefuchefu, hakuna dawa wala madaktari tunadanganywa na wanasiasa kuwa kutakuwa na zahanati kila kata klumbe ni maneno ya jukwaani tu....." ("The Way You See The Problem Is The Problem": Them, I & Them.......AFRICANS.....Innocent Galinoma)
Sikiliza kibao cha Inno hapo chini. "When I listen to the news, I get so confused, my people are down, by the laws of men.
Then, kuna the legend Lucky Dube. Nimekuwa nikisiliza reggae zake tokea nikiwa mtoto na bado naindelea kuzisikiliza. Reggae ambayo naona ina-reflect kilichotokea hivi karibuni nchini mwetu inaitwa THE WAY IT IS. This song is very good to hear it and that message courages me everytime when I get problem concerning our political matters.
Didn' t I raised my voice
High enough for you
I was running like a fugitive all the time
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don' t even know my name
It' s so funny, we don' t talk anymore
Be good to the people on your
Way up the ladder
Cause you' ll need them on your way down
Chorus:
That' s the way it is x4
Didn' t I raised my fists high enough for you
I guess I can' t pat myself on the shoulder
For a job well done
Dodging bullets in the streets
I was there
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don' t even know my name
remember
Be good to the people on your way
Up the ladder 'cause you' ll need
Them on your way down
Chorus:
That' s the way it is
Last edited by a moderator: