Jamani sasa na mie ngoja nionyeshe hisia zangu jinsi nilivyo dowload album za Lucky Dube na wasanii wengine wa Reggae. These guys are making sense. look now guys
View attachment 52560
Mkuu,
Muwe mnanunua NYIMBO zao hata kidogo basi maana msipofanya hivyo, watakula POLISI.
Nunueni ITUNES, CD Original na siyo za Wahindi, DVD zao nk ili kuwainulia kipato chao.
Pia kama unaishi USA, EUROPE na nchi zilizoendelea, angalia sana sana maana Watakufunga sasa hivi. Kwa sheria walizopitishia juzijuzi za HAKI YA MWENYE MALI, basi usishangae siku moja wanakutumia Check ya Maelfu ya EURO ulipe au ukafie jela ukishindwa kulipa.
Mama mmoja German alishangaa wanamletea Check ya Euro 40,000 na kitu na wakamwambia ni kwa kufanya download ya miziki na film. Hivyo, haya mambo kuweni makini sana. Kama upo Tanzania au Africa kwa ujumla, basi wee kula tu bata maana huku kwetu bado hawajaanza kucontrol.
Mkuu
Nashukuru sana mkuu ni hali ya kutofahamu. Ngoja nijiunge Itunes ninunue hizi albums.
Sure these guys need donations.
Mmmmhhh Preta. Yani kuona kideo tu imekua sababu ya kumtafuta mkuu Invisible? Si amesha weka clip hapo uone? Hahahahaha. Be ready to fight Golden Mpoleeee. LolSafi sana mkuu ... Invisible....
nakuja kukuazima hii kanda.....
Check pia EBAY na SECONDSPIN, waweza kuzipata kwa bei nzuri sana.
Itakuwa safi kwa usalama wa data zako za Bank kama utatumia PAYPAL. All the best.
Invisible
Thanks a lot for this wonderful piece of art.... Nina bahati ya kuwa na album za huyu jamaa, and the inspiration came from a south african colleague who told me in 2005 kwamba one day Lucky's words will come back!!!
I wish tungekua na Radio au TV programs za uamsho na kusaidiana kujua where we stand.... nina nyimbo moja inaitwa MONSTER.... INAZUNGUMZIA ONE MOSNTER DIES, ANOTHER ONE COMES AROUND
If you seriously look into our country situation hilo ndilo linatokea; tulikua na wale wahindi waliotupa pesa pale Sayansi enzi za sokoine, tukana na wauza unga kwa kutumia michezo, wakaja wale wa mikonge, yakahamia ikulu na sasa yameweka kambi
we live int he world/country where walio juu wanazaa monsters kwa kupokezana....
we have forgotten about rostam, we have forgotten about wizi wa madini, we are forgetting about richmond etc. now we have a new monster... watendaji wetu na mawaziri miungu watu!!! under the protection of God knows who
Inasikitisha but as soldiers, we must match on kwani baadhi ya wafanyayo mabaya, ni kwa kukosa jinsi ya kuondoka kwenye mfumo tight!!
Mmmmhhh Preta. Yani kuona kideo tu imekua sababu ya kumtafuta mkuu Invisible? Si amesha weka clip hapo uone? Hahahahaha. Be ready to fight Golden Mpoleeee. Lol
Mkuu u have made an extra ordinary post. We r matching
Mkuu.... we acha tu!!! wee need these type of threads kupata some inspirations, the mood is quite peressingTiming,
Hii CD Album ya RESPECT kwa kweli nayo ni nzuri sana. Hata huu wimbo wa Money Money Money wa Lucky Dube, na wenyewe kama vile unazungumzia Tanzania kwa sasa kuwa kila kitu ni kununua.
Too sad. Lucky Dube - Money Money Money - YouTube
Mie wimbo wangu huu hapa kwa ajili ya Ma-Vuvuzela: