Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,896
- 4,495
Swadaktaa..!
mbona hulali ndugu yangu? au ndio upo busy na tcu
Mimi ni polisi jamii, niko shift ya usiku leo.
Swadaktaa..!
mbona hulali ndugu yangu? au ndio upo busy na tcu
Mimi ni polisi jamii, niko shift ya usiku leo.
Ikifika saa sita nitachungulia TCU
Kama wewe laaziz
Sijui tuu mtoto wetu angekuwaje.
Kama wewe laaziz
Sijui tuu mtoto wetu angekuwaje.
Vipi Bado Unachungulia? Coz now ni Saa 01:13 tarehe 08/08/2016 nothing happened!Ikifika saa sita nitachungulia TCU
Vipi Bado Unachungulia? Coz now ni Saa 01:13 tarehe 08/08/2016 nothing happened!
Ha ha ha ha! Mkuu na mimi nilijiandaa Kimya kimya niingoje hiyo 00:00.Mkuu asante kwa kuwa macho vema ni saa 0318 lakini bado mambo ni yale yale ya 31/7. Hewa
Kweli aisee maana naona inaelekea tarehe mbili bila guidebook
Acha uswahili Mkuu, kuwa muelewa na mtu wa kujibu mambo kwa ufasaha.kama ni hivyo hayakuwa yanakuhusu haya mpendwa vipi kushadadiiia??
Acha uswahili Mkuu, kuwa muelewa na mtu wa kujibu mambo kwa ufasaha.