TCU vipi Diploma Guidebook?

TCU vipi Diploma Guidebook?

Ni kweli mkuu selection zinafanyika TCU peke yake ila kwa kuwa tuliomba kupitia nacte basi lazima nao (nacte) wahusike kwa njia moja au nyingine katika kufanya hizo selection ndiyo maana katika matangaxo yao wanasema majadiliano yanaendelea hiyo inamaanisha kuwa nao wanahusika mkuu. Ni mtazamo wangu tu...
sawa ila nacte awawezi huska na selection moja kwa moja wanachofanya ni kusubmit matokeo ya walio apply before tcu na watachanganua waliokizi vigezo vilivyowekwa na tcu then tcu kuchukua hao na kuwafanyia selection kupitia cas nacte awausiki tena hapo ndio maana ulisikia nacte wakisema wanafanya mchakato wa kuchambua wenye sifa ila sio kuwachagua chuo
 
Nyinyi kaeni nyumbani hakuna diploma kwenda degree mwaka huu
 
Tuendelee kuvuta subira maana heri inakuja mpaka tarehe 15/8.
 
Hivi sasa ni sa 7 na nusu usiku tarehe 15.08.2016...badooo...ngoja nitafute namba nisome!!!
 
Back
Top Bottom