TCU vipi Diploma Guidebook?

TCU vipi Diploma Guidebook?

Aisee yani unaweza kulia,LAKINI JAMANI IWE FUNZO KWETU SABABU KESHO TUKIPATA NAFASI ZA UONGOZI TUSIFANYE HIVI MAANA HUU NI UZEMBE TOTALLY
 
Aisee yani unaweza kulia,LAKINI JAMANI IWE FUNZO KWETU SABABU KESHO TUKIPATA NAFASI ZA UONGOZI TUSIFANYE HIVI MAANA HUU NI UZEMBE TOTALLY
Mvute subira TCU wanasubiri matokeo ya RPL ili na wao wa applay kwa pamoja na nyie wa diploma. ndo wamepiga tu pepa juzi ijumaa
 
Mvute subira TCU wanasubiri matokeo ya RPL ili na wao wa applay kwa pamoja na nyie wa diploma. ndo wamepiga tu pepa juzi ijumaa

From Tarehe 31 July, to tarehe 8 August then Tarehe 15 August unakusudia Kutwambia TCU hawajui Wanachokifanya au??

Kwasababu Ratiba ya Mtihani Wa RPL wanapanga Wao TCU, na Hizo Tarehe Za Application Wanapanga Wao TCU, sasa unataka Kutwambia walipo Panga hile Tarehe 31 walisahau Kuwa Kuna Mtihani Wa RPL?? 8 je? na 15 je? Mbona Haiingii Akilini..!!!
 
Nane kasoro....

Sasahivi Ni Saa Nane Na Nusu 14:30 Mkuu! inaonesha Bado unaziamini Kauli Za TCU eeeh? Mimi Hapa Hawanidanganyi Tena... Huwa tu Ninachungulia Kwenye Website Yao Muda Ninaopenda Mwenyewe Lakini Si Kwa Tarehe Zao Za Uongo Wanazoongopea Watanzania.
 
From Tarehe 31 July, to tarehe 8 August then Tarehe 15 August unakusudia Kutwambia TCU hawajui Wanachokifanya au??

Kwasababu Ratiba ya Mtihani Wa RPL wanapanga Wao TCU, na Hizo Tarehe Za Application Wanapanga Wao TCU, sasa unataka Kutwambia walipo Panga hile Tarehe 31 walisahau Kuwa Kuna Mtihani Wa RPL?? 8 je? na 15 je? Mbona Haiingii Akilini..!!!
Ni sawa usemavyo ila kama unafuatilia mambo hata ratiba yenyewe ya RPL walibadilisha sivyo walivyotangaza awali.serikali ya matamko mkuu siunajua tena wenyewe mpaka wafanye jambo ni hadi mkuu wa kaya aoteshwe la kuwaambia
 
Ni sawa usemavyo ila kama unafuatilia mambo hata ratiba yenyewe ya RPL walibadilisha sivyo walivyotangaza awali.

Sasa Ndiyo Ukubali Kama Huo Ndiyo Uzembe!! Wasiwe Wazuri Wa Kumanage Mambo Kwenye Semina na Kupiga Bann Vyuo tu..
 
Bado sijajua ni kitu gani kinawasumbua TCU na isipokuwa kuanzia leo tar 15 basi nitajiaminisha kwamba kuna watu wanaocheza na program zao bila kujijua na kama wameweka kwa kukusudia tarehe ya adimission basi uongozi wote na uwe JIPU sio kuendelea kutengua uongozi wa RC na DC wakati sector muhimu ambazo ni mhimili hasa wa taifa zinaongozwa ndivyo sivyo.
 
Huwa Ninajiuliza Hivi!! "Kuomba Chuo Unatakiwa Minimum Uchague Programs 3, Sasa Kwa Sisi Watu Wa Afya Mfano Mimi Nina Ordinary Diploma Ya Pharmacy, Si itakuwa Hapa Ni Wazi Kuwa Program Ninayoweza Kuchagua ni Bachelor of Pharmacy!! Kwa Hiyo Program Nyengine 2 nitakazochagua Nahisi Ninajipotezea Muda tu Mana Kwa Vigezo Vya Vyuo Siwezi Kuchagua MD wala Maabara, Wala Nursing, Wala Optometry! Kwasababu Vigezo Vya Kila Chuo Kusomea MD ni Lazima Uwe na Diploma ya CO.
TCU mnakanganya Mambo.
 
Back
Top Bottom