Yeye alipie kwanza upya tcu, ndo aendelee kufatilia hiyo ya nacte irudi vip kwake, but kuna neno linaitwa NON REFUNDABLE alizingatie sana.
Hiyo asamehe tu maana walishasema n non refundableNakubaliana na wewe kwamba jambo la kwanza kabisa na la haraka winlicious analotakiwa kulifanya kwa sasa nikufanya malipo na taratibu zote za kuomba TCU. Hilo la non refundable linategemea kama mchakato wa NACTE ulienda vizuri inamaana hakuna makosa kwa upande wao ila kama kuna hitilaf au matatizo ya kiufundi yalijitokeza hapo anaweza kuanza kuhangaika na watu wa mtandao baada ya kua ameshahakikisha amemaliza kuomba TCU!
acha uoga mkuu