N
isaidie kwa hili bwana: Kijana wangu amepata physics B, chemistry B+ biology B+. akijaza UDM medicine inakataa kuwa point ni 5 zinazohitajika (system inasema yeye ana 4 wakati sio kweli). Vyuo vyote vingine vimekubali. anataka kujaza Muhimbili, CUHAS na Udom. Please help
Hayo matatizo yapo tangu 2012 nimeanza kuyaona. Japokuwa huwa kunakuwa na mistake kwenye website ya TCU-CAS ila ukiona vingne vinakubali na kimoja kinagoma usiendelee kubishana nao sana, tafta kingne. Lakin pia kuna wakati ambapo unakuta walioomba kile chuo wapo wengi sana na washajaa, ile setting system ikawa haikuwekwa kwaajili ya kuchange status kwahyo ikaleta status nyingine.