TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Salaam wanajf;

Leo nilitaka kununua voucher ya TCU kwa bahati mbaya nikakosea nikanunua ya NACTE..please mwenye kuhitaji voucher hii hata kwa Elfu 40 au tubadilishane anipigie..

Namba ni 0673 354881

Nawasilisha
 
Hi mwana JF
Nilichagua programs tano na baadaye nikabadiri priority. Kila niki-login sikuti hayo marekebisho. Nilijaribu kufuta programs zote na kuanza upya, sasa cha ajabu priority nilizochagua zinaanzia namba 2 mpaka 5, priority 1 haionekani, ingawa nikiomba ku-add program naambiwa nimeshachagua program zote 5. Naomba msaada.

Fika ofisi za tcu kwa msaada zaidi
 
Salaam wanajf;

Leo nilitaka kununua voucher ya TCU kwa bahati mbaya nikakosea nikanunua ya NACTE..please mwenye kuhitaji voucher hii hata kwa Elfu 40 au tubadilishane anipigie..

Namba ni 0673 354881

Nawasilisha

Ndg yangu pole. Me muhanga mwenzio. Plz ukifanikiwa tusaidiane plz. Email; bmcoletha@gmail.com.com
 
Nimeanza kufanya application kupitia NACTE. Kwenye kuongeza NTA level 6 qualification sijakiona Chuo changu. ILA bahati nzuri wametoa option lakini wanahitaji uscan cheti. Mimi nimemaliza mwaka huu diploma ya kilimo, hivyo Nina transcript kwa sasa. Je naweza kuiscan hiyo Na kufanya application? Au nisubiri mwakani?.... Naombeni msaada Kama Kuna kwenye ufahamu Na hili.

Nawasilisha
 
Nimeanza kufanya application kupitia NACTE. Kwenye kuongeza NTA level 6 qualification sijakiona Chuo changu. ILA bahati nzuri wametoa option lakini wanahitaji uscan cheti. Mimi nimemaliza mwaka huu diploma ya kilimo, hivyo Nina transcript kwa sasa. Je naweza kuiscan hiyo Na kufanya application? Au nisubiri mwakani?.... Naombeni msaada Kama Kuna kwenye ufahamu Na hili.

Nawasilisha
 
Nimeanza kufanya application kupitia NACTE. Kwenye kuongeza NTA level 6 qualification sijakiona Chuo changu. ILA bahati nzuri wametoa option lakini wanahitaji uscan cheti. Mimi nimemaliza mwaka huu diploma ya kilimo, hivyo Nina transcript kwa sasa. Je naweza kuiscan hiyo Na kufanya application? Au nisubiri mwakani?.... Naombeni msaada Kama Kuna kwenye ufahamu Na hili.

Nawasilisha
Tumia tu transcript uliyonayo sasa...ndugu yangu alifanya hvyo mwaka jana akapata chuo kama wengine. We upload tu hyo transcript sehemu zote mbili(wanapotaka cheti na transcript)
 
Back
Top Bottom