imani_amani
Member
- Oct 2, 2015
- 22
- 1
Hapo umekosea kujaza information zako. Maybe password haiendani na namba yako ya mtihani.....
tumeni picha za mabadilko tzione msiwe mnalalamika tu xo mie iko kawaida tu
sasa na chuo kipi ndugu. kama chuo nilichokuwa selected ni NIT,na walivyotoa first banch jina langu lilikuwe ila juzu NIT wametoa second na third banch jina langu halipo?
So leo wanaweza wakaachia hy majna ya 3rd round maana nna ndugu yangu had anatia huruma
vp kuhusu community health wadau postzshatoka au mizinguz
st.john's tayar washatoa 3rd round
we endelea kulala bado zkitoka tutakuamsha
Duh pole sana pale unaandaliwa kuwa Fundi Mchundo...ungekuwa na akili kidogo ungepata CoET wanapoandaliwa wahandisi haswa.
sahau mkopo ww jipange kwani ulikuwa hujui kama mwaka huu unatakiwa kwenda shule nacte&heslb wanaamin ww unajira na utajsomesha.
Kk upo duniani kweliIv Guidebook ya NACTE ya na TCU ya mwaka 2016/2017 imetoka?
Nahic umenifananisha mkuu, au sijakuelewaKk upo duniani kweli