TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Pole sana lakini me nimemwombea Mdogo wangu wala haijasumbua Na ilinichukua kati ya dakika 10 mpaka 20 kuwa nimemaliza.

We nae acha kuzingua TCU ina siku tatu inazingua sasa iweje wewe useme umefanya kwa dakika kumi ukawa umemaliza!!!!!Watu wengine sifa,
 
Vizuri pia boss me sipungukiwi Na kitu namaneno yako ya hovyo as long as nimeshamjazia ndg yangu basi nawewe komaa na hizo siku tatu za kuzingua kwa TCU wengine hatujazoea kujibizana Na maneno ya kipuuzi.
 
selection jaman ndo ugonjwa wangu mbona magumash na dead linie hiyo ishapita kulikon tumechoka kwa anaye jua jaman lini selection msaada
 
Watumie e-mail na upige,simu pia nilikua na ilo tatizo nikawatumia number za mitihan yangu wakanirekebishia na kunipa password mpya nikaweza kuendelea na usajili

Wanapatikana saa 2:30 asubuhi
Kila raheli mkuu
man of the year, ebu nisaidie ilichukua siku ngapi kureply mail yako. cos na mimi nina tatizo linalofanana na hilo. siku ya 3 leo nimefanya self registration tu basi siwezi kuendelea
 
Last edited by a moderator:
Jamani nna tatizo yani niki log in ina niandikia the connection to the server was reset while page was loading.
 
maana nmechoka tangia walivo ongeza mda wa dead line poa lakin niwe patient
 
Mnazungumzia nini nyie?
Mnataka selection kabra ya dedline ya kuaply haijaisha?

Acheni utani!
 
Duh, kumbe inazingua siku nyingi? Basi watuongezee deadline kama ndiyo hivyo. Haiwezekani kuwa na karibu siku tatu za bila huduma, yet wakomae na deadline yao? Huu si ustaarabu kabisa. Halafu ni bora hata wangetuomba msamaha, sasa wamebaki tu, na wala hawaonyeshi kujali. Ukienda kusoma kwenye vyuo vyao mamboa ya public administration wanakufundisha umhimu wa communication. Hivi hawa wanawezaje kusimamia vyuo vinavyofundisha utawala bora halafu wao wenyewe ni watawala wa hovyo kabisa? Yaani, kwa style hii, wale waombaji waliopo kijijini imekula kwao. Na hii ni style nyingine ya ubaguzi ambao serikali ya CCM na institutions zake imekuwa ikiufanya. Na wanajua kabisa kwamba end of the day anaumia mtoto wa mkulima asiyekuwa na uwezo wa kuaccess internet wakati wote.
 
Website yao ime-jam sababu watu wengi wanaoingia website hiyo...!!!
 
Mwenyw ilo tatiz linikuta j,moc nikajarib kuwapigia bt sim ikawa hawapokei,nikaamua kusubmit bila kuconfirm my results km tayar yapo kweny necta database na kuprint nishaprint fom je wakuu nawezaje ingia tena cas nichk profile yangu??na je nifanyaje wakuu sikukumfrm my result
 
TCU niwape hongera kwa huu mfumo wenu wa kuomba vyuo {CAS}, lakini kuna changamoto nyingi ukiingia kwenye huu mfumo mara nyingi unakuwa haupatikani na hata kama utapatikana uko chini sana.

Ambavyo unasababisha zoezi zima kuwa changamoto. Mnawapa shida vijana wetu maana wanasiku chache sana warudi kambini.

Asante!
 
Jamani naombeni msaada,kama kuna anaejua open university wanatoa degree ya nursing au public health anijurishe.
 
wanaboa sana mkuu application unafanya wiki mzima......mimi tokea jumapili inanisumbua
 
Back
Top Bottom