TCRA: Polepole Tv ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji habari

Acha ubwege wewe. Nyerere alimwambia nani kwenye CCM/TANU yake mwenyewe aliyekuwa anataka kummaliza? Una uwezo wa kuvuka barabara salama wewe mwenyewe kweli?
Lissu alikopi toka kwa Nyerere hayo maneno.
Mbona kuna mabwege wengi siku hizi Jf?
 
Safi sana wakati yule sadist anatunga misheria ya ajabu kama hii Polepole alifikiri yeye hazitamgusa kama vipi apambane na hali yake
 
"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."

Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA

====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Leo hii tisiaraei wanamkoromea bw poleple?
 
Hizi sheria zilitungwa kipindi Pole Pole yuko safe sana na alisahau yeye kushawishi kuwa na sheria nzuri zilizo fair, ona sasa na yeye inakula kwake, Sasa hivi, tukiwa na vyeo I'm madaraka yapasa kutetea masilahi mapana ya nchi yanayogusa wananchi na sio kulinda watawala.
 
Lakini kiroboto nae ni mkorofi mbona kipndi kile cha godfather kipindi hicho kilikuwa kikiitwa papo kwa papo na kilijikita sn katika kutatua changamoto za watu ila baada ya godfather kusepa anakuja na shule ya uongozi kwa ajili ya kujifanya mchambuzi wa mambo ya serkali
 
Hizi sheria zilitungwa kipindi Pole Pole yuko safe sana na alisahau yeye kushawishi kuwa na sheria nzuri zilizo fair, ona sasa na yeye inakula kwake, Sasa hivi, tukiwa na vyeo I'm madaraka yapasa kutetea masilahi mapana ya nchi yanayogusa wananchi na sio kulinda watawala.
Karma
 
"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."

Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA

====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Hata bi Chau anatangaza vipi kumzuia polepale
 
Hahahaaaa

Haya,government departments are weaponized na watawala kupambana na wapinzani wao kisiasa

Weaponization ya state apparatus kuwasaidia watawala kufanya uonevu kwa watu

Pambaneni nae kisiasa!

Hamumuwezi ndio maana mnakimbilia state apparatus
Ndo maana katiba mpya ni muhimu
 
"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."

Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA

====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Aisee wa africa itachukua muda sana kujikomboa. Basi wavipige marufuku vitabu vyote vya wazungu vinavyoelezea namna ambavyo wa africa wachache wanavyotumika na mataifa ya nje kuhujumu uchumi wa africa. Inasikitisha sana tena sana.
 
Back
Top Bottom