digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,896
- 14,358
Ni Kama Mrs Robert Amsterdam avyoishi kwenye mioyo ya wafuasi wakeKumbe Magufuli bado anaishi katika dikteta Samia
Ni Kama Mrs Robert Amsterdam avyoishi kwenye mioyo ya wafuasi wakeKumbe Magufuli bado anaishi katika dikteta Samia
Lissu alikopi toka kwa Nyerere hayo maneno.Hayo maneno yalisemwa na Lissu zamani sana baada ya Nyerere kufariki. Ukisema Lissu sijui utapungukiwa nini?
aliwadanganya yeye ni mbobevu kwenye taaluma ya habari 🤣Kabla ya kumpa leseni hawakulifikiria hili wanalofanya leo?
😂😂aliwadanganya yeye ni mbobevu kwenye taaluma ya habari 🤣
Lissu alikopi toka kwa Nyerere hayo maneno.
Mbona kuna mabwege wengi siku hizi Jf?
Polepole ameanza kuishika CCM hivyo wanaona ni vyema kuwahi kumuzima.Kwani hiyo kafungua leo? Siku zote walikuwa wapi?
Leo hii tisiaraei wanamkoromea bw poleple?"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA
====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Naungana na weweKwa hiyo mnataka kusemaje? Je hamna utaratibu wa kuhakiki vyeti vya wanahabari kabla hamjafungua au kutoa leseni ya biashara?
Humphrey Polepole asihukumiwe kwa uzembe wa TCRA.
KarmaHizi sheria zilitungwa kipindi Pole Pole yuko safe sana na alisahau yeye kushawishi kuwa na sheria nzuri zilizo fair, ona sasa na yeye inakula kwake, Sasa hivi, tukiwa na vyeo I'm madaraka yapasa kutetea masilahi mapana ya nchi yanayogusa wananchi na sio kulinda watawala.
Wewe ni kabaraka wa yule kahaba mkuuNi Kama Mrs Robert Amsterdam avyoishi kwenye mioyo ya wafuasi wake
Yupi mkuu?,acha kupanikiWewe ni kabaraka wa yule kahaba mkuu
Hata bi Chau anatangaza vipi kumzuia polepale"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA
====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Ndo maana katiba mpya ni muhimuHahahaaaa
Haya,government departments are weaponized na watawala kupambana na wapinzani wao kisiasa
Weaponization ya state apparatus kuwasaidia watawala kufanya uonevu kwa watu
Pambaneni nae kisiasa!
Hamumuwezi ndio maana mnakimbilia state apparatus
Watanzania ni waoga sana, waliufyata kwa Jpm sasa wanaufyata kwa Bi TozoKumbe Magufuli bado anaishi katika dikteta Samia
Aisee wa africa itachukua muda sana kujikomboa. Basi wavipige marufuku vitabu vyote vya wazungu vinavyoelezea namna ambavyo wa africa wachache wanavyotumika na mataifa ya nje kuhujumu uchumi wa africa. Inasikitisha sana tena sana."Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA
====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole