NIPOSINGO
Member
- Jul 24, 2022
- 11
- 39
Matukio ya siku za hivi karibuni yamenitafakarisha maana na dhamira ya kuwa mwanahabari
Kuanzia saga ya Wasafi Media vs Lissu, controversy ya TCRA vs Waziri Nnauye, na dhihaka kadhaa za EFM
Uanahabari sio guarantee ya kukosa heshima au ku-act unprofessional in the pretext of professionalism, tena kwa waandishi ambao “tunajuana” elimu na uwezo wetu.
Something somewhere is not serious, I think. Hapa nitazungumzia matukio mawili tu ya hivi karibuni; wengine mnaweza kujazia wanajamvi kwa ajili ya mjadala.
KATAZO LA KUSOMA MAGAZETI KWA HISIA
“Impartiality” ni nadharia inayoeleweka vyema kwa wanataaluma wa habari. Kanuni kubwa iongozayo nadharia hii ya uyakinifu inamtaka mwandishi kutoandika/husisha/weka maoni au hisia zake katika habari anayoiandaa au kuiwasilisha — kinyume na walivyokuwa na wanavyoendelea kufanya baadhi ya watangazaji wa EFM na Wasafi
Uandishi wa habari unaofuata taratibu ni ule unaotenganisha kwa uwazi uhalisia wa jambo na maoni kuhusu jambo hilo. Waandishi wengi wa zama hizi hawaliishi hilo.
Mwanahabari wa redio hapaswi kutoa maoni yake kama ilivyo kwa mwandishi wa makala/tahariri gazetini. TCRA wqliligundua hilo na wali-address kama ni kosa na kutoa onyo
Ikumbukwe kuwa TCRA ndio regulator wa online and broadcasting content nchini, kwa mujibu wa sheria.
TCRA hufanya kazi zake kwa kanuni na miongozo mbalimbali, lakini pia kazi hufanyika katika baadhi ya kamati mathalani Kamati ya Udhibiti Maudhui (Content Committee Team), ambayo pamoja na mambo mengine yote, Waziri (wa Habari) ndiye last say wake (this is unquestionable)
Binafsi sikupendezwa na approach ya Nape kutuma kombora mtandaoni dhidi ya TCRA lililowapa “pointi tatu” walengwa (sisemi waandishi, ni walengwa) na kupelekea watu hao kufanya dhihaka kubwa kesho yake dhidi ya TCRA. This is both disgusting and unprofessional.
DHIHAKA KWA SANAMU LA MWL NYERERE MJINI ADDIS ABABA
Leo tena nimeona team ya EFM iki-dramatize issue ya sanamu la Mwl. Nyerere lililosimikwa na kuzinduliwa hivi karibuni katika Ofisi za Makao Makuu ya Umoja wa Afrika huko Addis Ababa, nchini Ethiopia.
Wasichokijua ni kwamba, ile sio tu komedi bali ni dhihaka kubwa kwa Kiongozi Mkuu wa nchi (Rais Samia Suluhu Hassan) aliyehudhuria na kuridhia uzinduzi huo. It means that yeye naye “alipigwa” kwa kukubali kuzindua “Nyerere feki”. Ni kukosa heshima.
EFM wamekuwa na tabia ya ku-dramatize mambo serious na kuwakosea watu/viongozi heshima. Sio Rais SSH pekee, bali ni dhihaka kwa marais wote wa Afrika waliohudhuria pale.
Sawa, ni role ya media kuhabarisha, lakini wajifunze kwa vyombo vingine kama BBC walivyoripoti kimaadili na kuzingatia taaluma, sio wao.
Ni tatizo linaloletwa na kuajiri wachekeshaji na watumbuizaji kama watangazaji katika tasnia ya habari. Vichwa vyote vikifanana, of course no critical mind huzaliwa.
Nimeandika roughly nikiwa safarini, nitairudia vyema makala hii ikiwa imeambatana na ushahidi na rejea za kisheria
Ahsanteni!
Kuanzia saga ya Wasafi Media vs Lissu, controversy ya TCRA vs Waziri Nnauye, na dhihaka kadhaa za EFM
Uanahabari sio guarantee ya kukosa heshima au ku-act unprofessional in the pretext of professionalism, tena kwa waandishi ambao “tunajuana” elimu na uwezo wetu.
Something somewhere is not serious, I think. Hapa nitazungumzia matukio mawili tu ya hivi karibuni; wengine mnaweza kujazia wanajamvi kwa ajili ya mjadala.
KATAZO LA KUSOMA MAGAZETI KWA HISIA
“Impartiality” ni nadharia inayoeleweka vyema kwa wanataaluma wa habari. Kanuni kubwa iongozayo nadharia hii ya uyakinifu inamtaka mwandishi kutoandika/husisha/weka maoni au hisia zake katika habari anayoiandaa au kuiwasilisha — kinyume na walivyokuwa na wanavyoendelea kufanya baadhi ya watangazaji wa EFM na Wasafi
Uandishi wa habari unaofuata taratibu ni ule unaotenganisha kwa uwazi uhalisia wa jambo na maoni kuhusu jambo hilo. Waandishi wengi wa zama hizi hawaliishi hilo.
Mwanahabari wa redio hapaswi kutoa maoni yake kama ilivyo kwa mwandishi wa makala/tahariri gazetini. TCRA wqliligundua hilo na wali-address kama ni kosa na kutoa onyo
Ikumbukwe kuwa TCRA ndio regulator wa online and broadcasting content nchini, kwa mujibu wa sheria.
TCRA hufanya kazi zake kwa kanuni na miongozo mbalimbali, lakini pia kazi hufanyika katika baadhi ya kamati mathalani Kamati ya Udhibiti Maudhui (Content Committee Team), ambayo pamoja na mambo mengine yote, Waziri (wa Habari) ndiye last say wake (this is unquestionable)
Binafsi sikupendezwa na approach ya Nape kutuma kombora mtandaoni dhidi ya TCRA lililowapa “pointi tatu” walengwa (sisemi waandishi, ni walengwa) na kupelekea watu hao kufanya dhihaka kubwa kesho yake dhidi ya TCRA. This is both disgusting and unprofessional.
DHIHAKA KWA SANAMU LA MWL NYERERE MJINI ADDIS ABABA
Leo tena nimeona team ya EFM iki-dramatize issue ya sanamu la Mwl. Nyerere lililosimikwa na kuzinduliwa hivi karibuni katika Ofisi za Makao Makuu ya Umoja wa Afrika huko Addis Ababa, nchini Ethiopia.
Wasichokijua ni kwamba, ile sio tu komedi bali ni dhihaka kubwa kwa Kiongozi Mkuu wa nchi (Rais Samia Suluhu Hassan) aliyehudhuria na kuridhia uzinduzi huo. It means that yeye naye “alipigwa” kwa kukubali kuzindua “Nyerere feki”. Ni kukosa heshima.
EFM wamekuwa na tabia ya ku-dramatize mambo serious na kuwakosea watu/viongozi heshima. Sio Rais SSH pekee, bali ni dhihaka kwa marais wote wa Afrika waliohudhuria pale.
Sawa, ni role ya media kuhabarisha, lakini wajifunze kwa vyombo vingine kama BBC walivyoripoti kimaadili na kuzingatia taaluma, sio wao.
Ni tatizo linaloletwa na kuajiri wachekeshaji na watumbuizaji kama watangazaji katika tasnia ya habari. Vichwa vyote vikifanana, of course no critical mind huzaliwa.
Nimeandika roughly nikiwa safarini, nitairudia vyema makala hii ikiwa imeambatana na ushahidi na rejea za kisheria
Ahsanteni!