PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,114
- 29,958
Usanii huu wa DStv utaendelea mpaka lini?
Leo wameondoa channel namba 228 (super sport variety) Kwa vile Tu mashindano ya Olympic yataanza kesho kutwa!! Huu sio uungwana na ni wizi wa mchana tena ni usanii mtupu, haiwezekani tumelipia kifurushi ambacho hiyo channel inakuwepo halafu ghafla mnaondoa.
Kipindi cha mashindano ya Euro walifanya huu wizi Kwa watumiaji wa kifurushi cha bomba Kwa kuwaondolea channel namba 224, tunawaomba TCRA waangalie haya manyanyaso ya hawa DStv.
Inakuaje Media zingine hawana wizi kama huu WA DStv? Kwanini serikali wanashindwa kuwabana hawa makaburu ili waende sawa na media zingine?
Huu wizi wenu DStv ni kama mfano wa bus la kampuni Fulani ambalo walikuwa wakifikia Kwenye barabara ya lami wanatoza tena abiria kwasababu wapita Kwenye lami.
Leo wameondoa channel namba 228 (super sport variety) Kwa vile Tu mashindano ya Olympic yataanza kesho kutwa!! Huu sio uungwana na ni wizi wa mchana tena ni usanii mtupu, haiwezekani tumelipia kifurushi ambacho hiyo channel inakuwepo halafu ghafla mnaondoa.
Kipindi cha mashindano ya Euro walifanya huu wizi Kwa watumiaji wa kifurushi cha bomba Kwa kuwaondolea channel namba 224, tunawaomba TCRA waangalie haya manyanyaso ya hawa DStv.
Inakuaje Media zingine hawana wizi kama huu WA DStv? Kwanini serikali wanashindwa kuwabana hawa makaburu ili waende sawa na media zingine?
Huu wizi wenu DStv ni kama mfano wa bus la kampuni Fulani ambalo walikuwa wakifikia Kwenye barabara ya lami wanatoza tena abiria kwasababu wapita Kwenye lami.