NORTH GOLD MINE
Member
- Apr 16, 2021
- 83
- 118
Pindi kombe la Dunia likiendelea na sisi wapenzi wa mpira Duniani kwa namna moja au nyingine katika kuhakikisha hatupitwi na hii burudani ilioiteka Dunia tuliamua angalau mwezi huu tulipie angalau hata ving'amuzi vyetu vya DSTV malipo ya juu kidogo ili tuweze kuzitazama hizii mechi Mana Hali ya uchumi kwa sasa wote tunaijua
Anyway kufupisha stori mm nililipia kifurushi Cha sh 36000 kwa kutoka sh 10000 ninayolipaga kwa kila mwezi Ila ilimradi tu huu mwezi na mm kombe la Dunia niliangalie hata ghettoni Cha kusikitisha mechi zote zinazochezwa leo tar 23 - 11 - 2022 Kuanzia mechi ya MOROCCO NA CROATIA , JAPANI NA GERMANY, SIJUI KAMA HIYO HATA YA SPAIN NA COSTA RICA , BELGIUM NA CANADA Watazirusha kwa package ya kifurushi hiki, hakuna hata mechi moja inayooneshwa kwa channel za mpira zilizopo kwenye hiki kifurushi
Lakini Cha kushangaza zaidi wametuwekea channel namba 224 ( world cup fan Zone) wanatuonesha picha za mashabiki tu wakiwa jukwaani wakati mechi ikiendelea huku wachezaji hawaoneshwi kati,
Sasa DSTV hii channel mmeiweka kutukera sisi wateja WENU ama , yaani mm nilipie kifurushi kwa ajili ya kutuonesha vibe la mashabiki uwanjani, hivi mlikusudia Nini katika kuiweka chanell ya namna hii
Aisee yaani mechi inaendelea sisi tunaangalia mashabiki tu wanavyoshangalia uwanjani na mpira hatuuoni
LEO MMENIKERA SANAAAA
Anyway kufupisha stori mm nililipia kifurushi Cha sh 36000 kwa kutoka sh 10000 ninayolipaga kwa kila mwezi Ila ilimradi tu huu mwezi na mm kombe la Dunia niliangalie hata ghettoni Cha kusikitisha mechi zote zinazochezwa leo tar 23 - 11 - 2022 Kuanzia mechi ya MOROCCO NA CROATIA , JAPANI NA GERMANY, SIJUI KAMA HIYO HATA YA SPAIN NA COSTA RICA , BELGIUM NA CANADA Watazirusha kwa package ya kifurushi hiki, hakuna hata mechi moja inayooneshwa kwa channel za mpira zilizopo kwenye hiki kifurushi
Lakini Cha kushangaza zaidi wametuwekea channel namba 224 ( world cup fan Zone) wanatuonesha picha za mashabiki tu wakiwa jukwaani wakati mechi ikiendelea huku wachezaji hawaoneshwi kati,
Sasa DSTV hii channel mmeiweka kutukera sisi wateja WENU ama , yaani mm nilipie kifurushi kwa ajili ya kutuonesha vibe la mashabiki uwanjani, hivi mlikusudia Nini katika kuiweka chanell ya namna hii
Aisee yaani mechi inaendelea sisi tunaangalia mashabiki tu wanavyoshangalia uwanjani na mpira hatuuoni
LEO MMENIKERA SANAAAA