Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,193
- Thread starter
- #21
TBS wanataka "kuvuta".Logic ya kukagua magari nje ilikua kuhakikisha magari yasiyo na viwango hayaruhusiwi kuja nchini. Yanabaki hukohuko. Sasa TBS imeamua yakaguliwe baada ya kufika bandarini...
Naona TAKUKURU hapa waweke nyavu zao, watavuna wengi.
Naufanisi usipokuwepo, waweke njia mbadala ya kuwashitaki kwa ucheleweshaji magari mikononi mwao.