Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
Heshima kwenu wenzangu! Nimeshindwa kuvumilia hili. Kila wakati ninapoangali taarifa ya habari kama kosa halitatokea kwa mtangazaji kutoa habari zisizopaswa basi anakosea kusoma. Na zaidi ni kutoa coverage ndefu ya ccm as if ni media yake. Aaghhrr!