tido atakumbukwa tu! kwa ujnga huu unaoendelea!!
Alikuwa ni Bonge la Jembe binafsi nilikuwa najivunia kuwa na Television ya Taifa inayoripoti habari fresh Wananchi mnatuma maoni yenu........ na yanasomwa hapo hapo lkn sasa hivi wapiiiiiiii inazidi kufulia siku hadi siku
WAPI TIDO MHANDO
I noticed that too Ndumbayeye