Sasa itasaidia nini kumtaja marehemu?Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
TBC ni kama bomba tu, mwenye kulimiliki (serikali iliyopo madarakani) ndio huamua maji gani yatoke, ama masafi au machafu. Kipindi cha utawala wa Magufuli, TBC ilikuwa busy kuhubiri kila ugoro wake na sasa Magufuli akiwa hayupo tena madarakani TBC hiyo hiyo imeamua kupotezea kila chema cha Magufuli. Hivyo hakuna cha ajabu, hiyo ndio TBC tunayoijua siku zote.Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Inasikitisha sana!Dah ila ma sukuma gang mnapenda kulalamika jamani dah
Mbona mnadeka Sana asee.
We umekuwa mkweli, Mungu akubariki. Huyo mleta mada ni MNAFIKI wa kupitiliza!TBC ni kama bomba tu, mwenye kulimiliki (serikali iliyopo madarakani) ndio huamua maji gani yatoke, ama masafi au machafu. Kipindi cha utawala wa Magufuli, TBC ilikuwa busy kuhubiri kila ugoro wake na sasa Magufuli akiwa hayupo tena madarakani TBC hiyo hiyo imeamua kupotezea kila chema cha Magufuli. Hivyo hakuna cha ajabu, hiyo ndio TBC tunayoijua siku zote.
Kwani hata wakimtaja, unatumaini atafufuka aje kuishi tena Chamwino?Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Hivi Kikwete aliasisi mambo mangapi ambayo JPM alithubutu kuyahusisha na utawala wake, ama hata kuyaenzi kwa ajili ya heshima yake!? TBC ni lazima ijikite katika masuala yanayofanyika hivi sasa, mambo ya yaliyopita kuhusu michango ya viongozi waliopita yabaki katika kumbukumbu za vitabu vya kihistoria, kwa kuwa yote hayo yamekuwa ni ya kale.Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Waache wasimtaje, lakini Kila mtu analijua hilo ya Kwamba bila Mwamba Magufuli kuijenga isingelikuwapo!Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Mkuu unahitaji nishani ya uzalendo....unatazama TBC? hongera sana, hivi bado ipo?Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Anawasumbua misukule yake mpk mnataka kutulazimisha na sie eti tuwe tunamtajatajaJPM atawasumbua sana kwa miaka mingi vumilieni tu...jamaa hapoi.
Naona wanamtaja kikwete yani hii nchi sijui wanafikri ni zama za gizaLeo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.
Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.
Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Wanateseka misukule ya Magufuli. Yaani wanalazimishia tu asisahaulikeMbona kipind cha magu tbc haikuwah kumtaja kikwete hata kwenye mambo mazuri na hukulalamika... Usikariri mkuu, kila zama na kitabu chake. USILAZIMISHE HUYO MAGUFULI KUNA WENGINE WALISHAMFUTA KICHWAN
Taja mifano ya miradi aliyoianzisha jiwe na kuipa majina ya watangulizi wake ukiondoa daraja la Kigamboni alilojenga KikweteAcha uongo, kuna miradi alikataa hata kuipa jina lake na kuamuru ipewe majina ya watangulizi wake.
Kama ambvyo Shetani lenu la Chato halikuwa na zuri zaidi ya kupiga watu risasi na kunyima haki za watumishi wa UmmaHuyo kikwete wako alikuwa na kitu gani kizuri, zaidi ya ufisadi, uzembe, kuchekeana na lousy presidency?
Kama upi?....mwosha huoshwa. Miradi mingi aliyokuwa anazindua ambayo ilianzishwa na mtangulizi wake alijipa sifa yeye peke yake hakutaka kabisa mwenzake atajwe au aisfiwe!
Kuna mijitu utadhani imekatwa vichwa inawaza kwa mataco. Ukiwasikiliza wote JPM anawatisha kumtaja. Wanahisi kama atawatokea. Jamaa ataishi na watanzania kwa muda mrefu sana.Walibomoa wakajenga upya?
Upi? Nyerere bridge? Mfugale? Kuna mradi wowote alioupa Kikwete?Acha uongo, kuna miradi alikataa hata kuipa jina lake na kuamuru ipewe majina ya watangulizi wake.