TBC, mnawatia aibu Watanzania

TBC, mnawatia aibu Watanzania

Mbona kipind cha magu tbc haikuwah kumtaja kikwete hata kwenye mambo mazuri na hukulalamika... Usikariri mkuu, kila zama na kitabu chake. USILAZIMISHE HUYO MAGUFULI KUNA WENGINE WALISHAMFUTA KICHWAN
 
Mbona JPM alikuwa hamtaji JK ? halafu JPM alikuwa ana ujuaji mwingi mno alikuwa anafanya mambo kwa utashi wake na sio vile inavyotakiwa. Hivi unajua ile fly over ya pale Ubungo haikutakiwa iwe vile? Na michoro iliandaliwa utawala wa JK. Yule JPM alikuwa anapenda sana Macamera na kuwahadaa Wananchi wa kawaida na kuwatisha wenye nazo.
 
Kwenye wizi wa mradi wa reli moro-dom-singida mnasema magu ndo aliiba. Kwenye mafanikio mnataja awamu ya sita. Tuwaeleweje?
Tofautisha kusaini mkataba na pesa kutoka/mradi kutekelezwa. Hao kina JPM walisaini clause iliyolazimisha kampuni inayopewa tender iwe ipi na ndio gharama zimeongezeka mnoo, so kina Samia anatekeleza tu mkataba uliosaniwa kifisadi na awamu ya 5.
 
....mwosha huoshwa. Miradi mingi aliyokuwa anazindua ambayo ilianzishwa na mtangulizi wake alijipa sifa yeye peke yake hakutaka kabisa mwenzake atajwe au aisfiwe!

Malipo ni hapa hapa
 
Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja JPM.
He really did a great job, tena ingefaa barabara ya kuingia huko ipewe jina lake na hiyo Ikulu ipewe jina la Nyerere
 
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja JPM katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.

Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja JPM.

Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ndo maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.

Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine.

Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Ifike mahali Mungu alirudishe jiwe duniani tu, watu wanateseka sana
 
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja JPM katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.

Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja JPM.

Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ndo maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.

Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine.

Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Aisee! Nilikuwa zangu nachezea remote baada ya kumaliza kuangalia BBC SWAHILI startv. Mara nikatokea TBC.

Kikwete anasimulia alivyoamua kujenga ukumbi wa mikutano ya kimataifa.

Wakaenda hadi ikulu. Jina la JPM limefichwa kama hakufanya lolote. Bila shaka ni maagizo ya mama.

Unafiki na roho mbaya wa kupitiliza
 
....mwosha huoshwa. Miradi mingi aliyokuwa anazindua ambayo ilianzishwa na mtangulizi wake alijipa sifa yeye peke yake hakutaka kabisa mwenzake atajwe au aisfiwe!
Acha uongo, kuna miradi alikataa hata kuipa jina lake na kuamuru ipewe majina ya watangulizi wake.
 
Ni kweli hata Bwawa la Nyerere walifukie tuchimbe lingine
Usivimbe mkuu bwawa aliliacha 32 na kujitapa kuwa yeye akiondoka madarakani miradi haitaendelezwa. Mungu alivyo fundi, kaamua kamletea mwanamama tu na anaendeleza fresh kabisa.
 
Back
Top Bottom