TBC, mnawatia aibu Watanzania

TBC, mnawatia aibu Watanzania

Tofautisha kusaini mkataba na pesa kutoka/mradi kutekelezwa. Hao kina JPM walisaini clause iliyolazimisha kampuni inayopewa tender iwe ipi na ndio gharama zimeongezeka mnoo, so kina Samia anatekeleza tu mkataba uliosaniwa kifisadi na awamu ya 5.
Kuandika gharama zimeongezeka maana yake siyo gharama za awali
 
Yule alijenga ikulu kama apartment za chuoni, mama ilibidi aachane nalo na kujenga Ikulu ya kweli ambayo ndo hiyo. Hivyo hana legasi yoyote hapo.
Hebu tufafanulie hapo kidogo, inamaana kulikuwa na mpango wa ujenzi wa awali na ukaachwa na kuja mwingine?
 
Usivimbe mkuu bwawa aliliacha 32 na kujitapa kuwa yeye akiondoka madarakani miradi haitaendelezwa. Mungu alivyo fundi, kaamua kamletea mwanamama tu na anaendeleza fresh kabisa.
Acha uongo mkuu, aliacha ujenzi wa Bwawa la Nyerere ikiwa na 52% kwa mujibu wa report ya wizara ya nishati
 
Mbona kipind cha magu tbc haikuwah kumtaja kikwete hata kwenye mambo mazuri na hukulalamika... Usikariri mkuu, kila zama na kitabu chake. USILAZIMISHE HUYO MAGUFULI KUNA WENGINE WALISHAMFUTA KICHWAN
Hebu taja mambo mazuri ya kikwete kwa miaka yake kumi naminikutajie mambo mazuri ya Magu kwa yake mitano alafu tulinganishe.
 
Acha chuki na mfu hakuwahi jitapa ila alihofia muendelezo kutokana na upinzani juu ya miradi hiyo.
Nani aliyepinga miradi hiyo? Hivi Tanzania ilianza na Magufuli? Ni miradi gani aliyojenga hadi kukamilika na wengine hawakujenga?
 
Back
Top Bottom