residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,020
- 14,529
Kwa mchango huu, uzi ufungwe rasmi.TBC ni kama bomba tu, mwenye kulimiliki (serikali iliyopo madarakani) ndio huamua maji gani yatoke, ama masafi au machafu. Kipindi cha utawala wa Magufuli, TBC ilikuwa busy kuhubiri kila ugoro wake na sasa Magufuli akiwa hayupo tena madarakani TBC hiyo hiyo imeamua kupotezea kila chema cha Magufuli. Hivyo hakuna cha ajabu, hiyo ndio TBC tunayoijua siku zote.
Kongole ndugu Zanzibar-ASP .