TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Wakuu ni vigumu na kamwe haitakuja kuellezwa kazi ya Ndugu yetu Muro zaidi Ya uandishi wa Habari.Hata wewe mwanajamii unaweza kuwa usalama wa Taifa baba yako na mama yako wa kukuza wasiweze kujua chochote.Sema alichokifanya kova alikosea kumhukumu mtu bila kujua kazi yake na kama alikuwa anajuwa kuwa si rahisi raia yeyote kumiliki pingu basi alitakiwa kujiridhisha kabla ya kuwasiliana na waandishi wa habari.Haya Muro kawasilisha receipt halali huoni kwamba amejiharibia kutoa matamshi ambayo hajayafanyia uchunguzi na kuyatoa kwa waandishi wa habari?Je anafaa kuwa kiongozi?

Kiongozi wa ngazi ile anatakiwa kuwa Confidentiality na awe Trustworth sasa yeye haoni kuwa anaanza kupublisize vitu ambavyo havikutakiwa kutolewa njee ya pazia??

Na kama ikilazimika kumuanika Muro basi itabidi wamvua hiyo hidden nyazifa ili awe raia ambaye haruhusiwi kumili pingu.

NOTE:Kuna mtu anayejua tabaka za kazi za usalama wa raia?Katika tabaka hizo ni nani anatakiwa kumili nini na mwingine hatakiwi?mfano waandishi wa habari wanaoambatana na Rais, waziri mkuu kwenye ziara mbalimbali ni usalama wa taifa au ni waandishi wa TSJ?

haya yote yamekuja kuvuja kipindi hiki enzi za mwalimu hata mwanao alikuwa anaweza kuwa anafanya kazi bila hata wewe ukiwa hujui.

Mwenye wasiwasi aniPM nimpe habari ili tuendelee na sredi zingine na kuiacha hii ya Muro ili vyombo husika viendelee kufanya kazi.
Mbona jeshi la wananchi limekana kwamba hawakumuuzia Jerry pingu? na kwamba wao hwauzi pingu kwa raia. So Jerry kafoji risiti? au kama kweli alinunua hapo kwa nini jeshi linakana? think hard people!
 
Mbona jeshi la wananchi limekana kwamba hawakumuuzia Jerry pingu? na kwamba wao hwauzi pingu kwa raia. So Jerry kafoji risiti? au kama kweli alinunua hapo kwa nini jeshi linakana? think hard people!


Wamekana wapi?, tueleze ili tuthibitishe maana huyu Jerry ni tapeli tu.
 
Kuna sirinyingi mno hapa, Muro anaweza kueleza pingu alikuwa anafanyia kazi gani? Kama kweli ameonekana na wale Matapeli wawili, Je alikuwa na dili gani nao?Huyu MURO simtetei wala simkandanizi, kwa vyovyote vile ana kesi ya kujibu.Mahakama ndiyo itaamua kuwa ana hatia ama hana hatia. Kazi ya mtu haiwezi kumtia utakatifu (hata mapadre ilikuwa ishu kuwakagua viwanja vya ndege).
 
Mbona jeshi la wananchi limekana kwamba hawakumuuzia Jerry pingu? na kwamba wao hwauzi pingu kwa raia. So Jerry kafoji risiti? au kama kweli alinunua hapo kwa nini jeshi linakana? think hard people!

Kama unakumbukumbu nzuri toka sakata hili litokee siku ya pili kuna taarifa zilitolewa huku na mmoja wa wafanyakazi huku Mzinga Ms Mary akisema kwamba kwenye duka lao la mzinga huo mzigo upo na unauzwa 25,000/= hata kabla Muri hajatoa receipt hiyo na akamwambia kuwa Hata wewe yaani akimaanisha mwandishi huya akitaka mzigo huo aende atapewa.Ila alipokuwa ameulizwa kama wanakumbukumbu yoyote kuhusu Pingu ya Muro akasema yeye siyo msemaji wa Jeshi.

Leo hii ndo tumesikia kuwa pingu haziuzwi kwa raia.Ndugu yangu na dada yangu Carmel cha kujiuliza je Muro ni raia huyu anayesemwa na Luteni Kanali Mgawe Kapamala? na kama siyo who is then Muro.

Ukishapata jibu basi endeleza michango mingi kwenye thready ya Geof na huku tuwaachie wahiska tuone sinema linaishia wapi.
 
kwa kweli inasikitisha!

Kosa la Muro ni nini?

a. Kuonekana na matapeli hadharani? Viongozi wangapi wa CCM wamepokea fedha na kukaa meza moja na matapeli wa kimataifa? Mnataka tuanze kutaja majina hapa?

b. Kuwa na pingu? siyo kosa katika Tanzania! Haijalishi kama alizinunua au aliziokota au alipewa bure. Kama wangemkuta amemfunga mtu hapo kuna makosa ya kisheria.

c. Kutaka kupokea rushwa? Ipi na kutoka kwa nani? Unajuaje kama alitaka kupokea rushwa?

d. Kuzungumza na vyombo vya habari? siyo kosa!

e. Kufichua vitendo vya kifisadi? siyo kosa!

Hata kama Muro alikuwa na makosa au ni tapeli kama wengine wanavyodai, bado mzigo wa kutoa ushahidi (burden of proof) iko mikononi mwa POlisi. Ni POlisi wanaotakiwa kuthibitisha kuwa Muro alifanya kitendo kiovu au alikuwa na nia ya kufanya kitendo kiovu na kuthibitisha pasipo chembe ya shaka.

Watu mnapoteza muda kuuliza suala la pingu, sijui Muro usalama wa Taifa.. hamna lolote. Waliolikoroga hili ni Polisi wenyewe na kama Muro ni mhalifu basi ni polisi ndio wameboronga kiasi cha kumuachilia mhalifu aende zake. Kosa kubwa la Muro lilikuwa ni kuwaonesha hiyo risiti!

Angekuwa na akili za kipepelezi angewaambbia kwamba hiyo pingu siyo yake! Wangethibitisha vipi kuwa ni ya kwake?
 
Kuna sirinyingi mno hapa, Muro anaweza kueleza pingu alikuwa anafanyia kazi gani? Kama kweli ameonekana na wale Matapeli wawili, Je alikuwa na dili gani nao?Huyu MURO simtetei wala simkandanizi, kwa vyovyote vile ana kesi ya kujibu.Mahakama ndiyo itaamua kuwa ana hatia ama hana hatia. Kazi ya mtu haiwezi kumtia utakatifu (hata mapadre ilikuwa ishu kuwakagua viwanja vya ndege).

Mimi nashangaa sana yaani mjadala mzima wa Jerry Muro ni kuhusu pingu pingu pingu, hivi silaha na pingu ni kipi hatari zaidi?

Nionavyo mimi kama jinsi silaha kama bunduki inavyotumika kuna purukushani zingine zaweza kusaidia kwa kutumia pingu kuliko kufyatua risasi. Hapa tunakuna tu vichwa lakini majibu yote anayo Jerry mwenyewe. Nadhani akifikishwa mahakamani atatoa maelezo ya kina kuhusu umiliki wake wa hizo pingu. Ngoja tusubiri.
 
Mimi nashangaa sana yaani mjadala mzima wa Jerry Muro ni kuhusu pingu pingu pingu, hivi silaha na pingu ni kipi hatari zaidi?

Nionavyo mimi kama jinsi silaha kama bunduki inavyotumika kuna purukushani zingine zaweza kusaidia kwa kutumia pingu kuliko kufyatua risasi. Hapa tunakuna tu vichwa lakini majibu yote anayo Jerry mwenyewe. Nadhani akifikishwa mahakamani atatoa maelezo ya kina kuhusu umiliki wake wa hizo pingu. Ngoja tusubiri.

Mimi nina ufunguo wa kufungua pingu sijui na hili ni kosa?anyway mwanakijiji you have said everything.
 
kwa kweli inasikitisha!

Kosa la Muro ni nini?

a. Kuonekana na matapeli hadharani? Viongozi wangapi wa CCM wamepokea fedha na kukaa meza moja na matapeli wa kimataifa? Mnataka tuanze kutaja majina hapa?

b. Kuwa na pingu? siyo kosa katika Tanzania! Haijalishi kama alizinunua au aliziokota au alipewa bure. Kama wangemkuta amemfunga mtu hapo kuna makosa ya kisheria.

c. Kutaka kupokea rushwa? Ipi na kutoka kwa nani? Unajuaje kama alitaka kupokea rushwa?

d. Kuzungumza na vyombo vya habari? siyo kosa!

e. Kufichua vitendo vya kifisadi? siyo kosa!

Hata kama Muro alikuwa na makosa au ni tapeli kama wengine wanavyodai, bado mzigo wa kutoa ushahidi (burden of proof) iko mikononi mwa POlisi. Ni POlisi wanaotakiwa kuthibitisha kuwa Muro alifanya kitendo kiovu au alikuwa na nia ya kufanya kitendo kiovu na kuthibitisha pasipo chembe ya shaka.

Watu mnapoteza muda kuuliza suala la pingu, sijui Muro usalama wa Taifa.. hamna lolote. Waliolikoroga hili ni Polisi wenyewe na kama Muro ni mhalifu basi ni polisi ndio wameboronga kiasi cha kumuachilia mhalifu aende zake. Kosa kubwa la Muro lilikuwa ni kuwaonesha hiyo risiti!

Angekuwa na akili za kipepelezi angewaambbia kwamba hiyo pingu siyo yake! Wangethibitisha vipi kuwa ni ya kwake?

Kwa mara ya kwanza katika mada hii nakubaliana na wewe mwjj katika hili. Tena alikuwa na nafasi nzuri ya kufanya hivyo pale ufunguo wake wa gari ulipopotea kitatanishi alipotakiwa kufungua gari kwa ajili ya upekuzi.

Hivi kesi hii haina haja ya kufanya upekuzi nyumbani kwa mtuhumiwa?
 
kwa kweli inasikitisha!

Kosa la Muro ni nini?

a. Kuonekana na matapeli hadharani? Viongozi wangapi wa CCM wamepokea fedha na kukaa meza moja na matapeli wa kimataifa? Mnataka tuanze kutaja majina hapa?

b. Kuwa na pingu? siyo kosa katika Tanzania! Haijalishi kama alizinunua au aliziokota au alipewa bure. Kama wangemkuta amemfunga mtu hapo kuna makosa ya kisheria.

c. Kutaka kupokea rushwa? Ipi na kutoka kwa nani? Unajuaje kama alitaka kupokea rushwa?

d. Kuzungumza na vyombo vya habari? siyo kosa!

e. Kufichua vitendo vya kifisadi? siyo kosa!

Hata kama Muro alikuwa na makosa au ni tapeli kama wengine wanavyodai, bado mzigo wa kutoa ushahidi (burden of proof) iko mikononi mwa POlisi. Ni POlisi wanaotakiwa kuthibitisha kuwa Muro alifanya kitendo kiovu au alikuwa na nia ya kufanya kitendo kiovu na kuthibitisha pasipo chembe ya shaka.

Watu mnapoteza muda kuuliza suala la pingu, sijui Muro usalama wa Taifa.. hamna lolote. Waliolikoroga hili ni Polisi wenyewe na kama Muro ni mhalifu basi ni polisi ndio wameboronga kiasi cha kumuachilia mhalifu aende zake. Kosa kubwa la Muro lilikuwa ni kuwaonesha hiyo risiti!

Angekuwa na akili za kipepelezi angewaambbia kwamba hiyo pingu siyo yake! Wangethibitisha vipi kuwa ni ya kwake?

Thanks mwanakijiji maelezo yako yanaeleweka saana ila ninashangaa sana hapa ndani kuna watu ni mahakimu wanaotoa hukumu moja kwa moja
Pia kuna wengine wanaonekana wana personal Conflict zao na kijana huyu
mradi kila mmoja hapa ana mawazo yake ...inasikitisha na kutisha kumbe sisi kwa sisi hatupendani?? ndo maana huwa tunaweza kuapa kwa bible /Quran na kusema uongo katika ushaidi

 
Kuna mijadala mingine huwa tunairefusha pasipo hata sababu za msingi! Thibitisheni kwanza kama muro si usalama wa taifa halafu ndiyo muendelee na mjadala wa yeye kutembea na pingu. Kama raia wa kawaida, kwa nini auziwe pinu kihalali na awe anatembea nazo? Usalama wa taifa wao wenyewe kwa wenyewe hawajuani, uje iwe wewe raia? Ni evident kwamba huyu bwana ni usalama wa taifa, wapo mpaka wafagiaji wanapita kufagia maofisini kwetu. KALAGABAHO!

Yaani ni pingu tu zinatufanya tumfikirie kama ni usalama wa taifa?!! Hapana.
 
JESHI la Polisi limemfikisha mahakamani mwandishi wa habari , Jerry Muro, ambaye ni maarufu kwa kufichua uozo, baada ya kumkamata kwa tuhuma za kudai rushwa kwa nguvu.

Muro, mfanyakazi wa Shirika la Utangazaji (TBC), anadaiwa kutaka fedha kwa njia ya vitisho kutoka kwa mhasibu aliyesimamishwa wa Halmashauri ya Bagamoyo, Michael Wage.

UPDATE:

See the video

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=vGXHtJ-RGp4[/ame]
 
inamaana kwamba wakili wa serikali amekubali kesi iende mahakamani? huyo bwana mdogo safari hii hatoki. utasikia tu 'mshitakiwa amenyimwa dhamana'...kazi kweli kweli...ilimradi tu akaonje joto ya selo!
 
Back
Top Bottom