TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

JESHI la Polisi limemfikisha mahakamani mwandishi wa habari , Jerry Muro, ambaye ni maarufu kwa kufichua uozo, baada ya kumkamata kwa tuhuma za kudai rushwa kwa nguvu.

Muro, mfanyakazi wa Shirika la Utangazaji (TBC), anadaiwa kutaka fedha kwa njia ya vitisho kutoka kwa mhasibu aliyesimamishwa wa Halmashauri ya Bagamoyo, Michael Wage.
Hapa ndo nimeamini kua kua na pingu si kosa kisheria!! maana kama ingekua kosa wangeliunganisha hapa!! kwa hiyo ishu ya pingu hakuna hoja ya msingi!!
 
hivi nyie vipi? Kuna cctv imemnasa Jerry wenu akiwa na jamaa hotelini na Jerry wenu alivyo mjinga kamkana jamaa . Tulieni Jerry ni mlla rushwa.
UMENENA THE PLAYER,Tatizo humu watu wakimpenda mtu huwa hawaamini kwamba anaweza kukosea,Bwana Muro anatuhumiwa kwa utapeli kwanza,polisi wanamchukua kwa ajili ya maelezo then katika hali ya kawaida wanaanzisha uchunguzi wa tuhuma hizo wanagundua Kumbe bwana MURO anamiliki pingu wanatuambia hivyo na kumtaka MURO alete stakabadhi ya ununuzi wa hizo pingu kosa la polisi liko wapi?wataendelea kutujulisha kila wanachogundua kumhusu MURO,Na inasemekana bwana MURO Aliwahi kudai na kupatiwa Tshs.4million kutoka kwa mke wa mmoja wa watuhumiwa wa EPA Akidai mbele ya mama huyo kwamba eti DPP Feleshi kamtuma yeye MURO akachukue fedha hizo kwake ili amsaidie mumewe.Huyo ndio Jerry Muro zaidi ya tunavyomjua.
 
At the end of the day mbivu na mbichi zitajulikana lakini nina uhakika kuwa kijana huyu ataonekana hana hatia kwani hata hiyo rushwa anayotuhumiwa nayo hawakumpa hata nafasi ya uwezekano wa ushahidi [wamemkamata kwenye gari kabla ya kukutana na mtuhumu] Polisi katika kujivua wamelipeleka mahakamani ili mahakama iamue.

Lakini lazima wafahamu hata akiwachiwa huru polisi wamejishushia hadhi sana kwa namna walivyolihandle suala hili na watarajie wao kupelekwa kizimbani kwa kesi ya madai ya kumshushia hadhi mwandishi huyu mbele ya jamii.
 
Hapa ndo nimeamini kua kua na pingu si kosa kisheria!! maana kama ingekua kosa wangeliunganisha hapa!! kwa hiyo ishu ya pingu hakuna hoja ya msingi!!
bado tunasubili kuona charge sheet, kwa swala hili kufikishwa mahakamani mtu mzima anaenda kuumbuka....hatuhitaji mnajimu.
 
UMENENA THE PLAYER,Tatizo humu watu wakimpenda mtu huwa hawaamini kwamba anaweza kukosea,Bwana Muro anatuhumiwa kwa utapeli kwanza,polisi wanamchukua kwa ajili ya maelezo then katika hali ya kawaida wanaanzisha uchunguzi wa tuhuma hizo wanagundua Kumbe bwana MURO anamiliki pingu wanatuambia hivyo na kumtaka MURO alete stakabadhi ya ununuzi wa hizo pingu kosa la polisi liko wapi?wataendelea kutujulisha kila wanachogundua kumhusu MURO,Na inasemekana bwana MURO Aliwahi kudai na kupatiwa Tshs.4million kutoka kwa mke wa mmoja wa watuhumiwa wa EPA Akidai mbele ya mama huyo kwamba eti DPP Feleshi kamtuma yeye MURO akachukue fedha hizo kwake ili amsaidie mumewe.Huyo ndio Jerry Muro zaidi ya tunavyomjua.

Nami sina upande wowote katika hili ila nashangaa sana kuona wanaJF wanakua too judgemental. Mara tu baada ya kuanza kwa sakata hili watu walishaconclude eti kabambikiwa hizo pingu na bunduki,mara jamaa kathibitisha kuwa ni vyake. Nafikiri tutulie tuone sheria inavyopelekwa then tutoe comment na sio ushabiki kama wa Arsenal na Inter Milan ambao unaendelea hapa..i.e JM Vs Geshi ra poris.
 
UMENENA THE PLAYER,Tatizo humu watu wakimpenda mtu huwa hawaamini kwamba anaweza kukosea,Bwana Muro anatuhumiwa kwa utapeli kwanza,polisi wanamchukua kwa ajili ya maelezo then katika hali ya kawaida wanaanzisha uchunguzi wa tuhuma hizo wanagundua Kumbe bwana MURO anamiliki pingu wanatuambia hivyo na kumtaka MURO alete stakabadhi ya ununuzi wa hizo pingu kosa la polisi liko wapi?wataendelea kutujulisha kila wanachogundua kumhusu MURO,Na inasemekana bwana MURO Aliwahi kudai na kupatiwa Tshs.4million kutoka kwa mke wa mmoja wa watuhumiwa wa EPA Akidai mbele ya mama huyo kwamba eti DPP Feleshi kamtuma yeye MURO akachukue fedha hizo kwake ili amsaidie mumewe.Huyo ndio Jerry Muro zaidi ya tunavyomjua.

HILI NALO ZITO!! Tutayafahamu mengi kadri sakata hili linavyoendelea. Tuendelee tafadhali
 
Anaenuna anune anaecheka acheke bwana Muro kwa namna moja ama nyingine lazima atakua anajihusisha na makundi ya kihalifu.Hata kama inaruhusiwa kisheria mtu yeyote kumiliki pingu mwanahabari na pingu wapi na wapi?alizinunua kwa ajili gani?self defence or what?haiingii akilini,hata panga,kisu,shoka n.k mtu yeyote anaruhusiwa kumiliki lakini nadhani kila mtu atakushangaa ukionekana unatembea na shoka mitaani wakati huonekani kuwa na shughuli yeyote inayohitaji uwe na shoka!!
 
Dola zitazungumza pamoja kumkandamiza, kwani mahakamani ni safi sana? zengwe tu kote kote nao walikuwa wanamchukia basi tuu!
 
abunuwasi katika sheria kina kitu kinaitwa ushahidi wa kimazingira..vuta subira tuone mwisho wake.Hapa suala si ushabiki kama wa simba na yanga sheria ni msumemo.Ngoja ichukue mkondo wake
 
Kama amepelekwa hapo na polisi wakimshtaki kutaka kupokea rushwa, basi mahakama itatupilia mbali shauri hilo, kwa kuwa polisi hawana haki kisheria kumfungulia mtu mashtaka kwa kupokea rushwa. Wataulizwa, kesi ya TAKUKURU kwa nini muishikie nyie kidedea?

Ngoja tusubiri
 
Nimeongea na mwandishi wetu ambaye yupo Kisutu anasema bado hajasomewa mashtaka, lakini yupo Kisutu tayari. Kama kutakuwa na jipya tutafahamishana. Najua kuna members kibao hapa JF wanaoweza ku-access info toka Kisutu
 
abunuwasi katika sheria kina kitu kinaitwa ushahidi wa kimazingira..vuta subira tuone mwisho wake.Hapa suala si ushabiki kama wa simba na yanga sheria ni msumemo.Ngoja ichukue mkondo wake
ushahidi wa Kimazingira unamaana kubwa, ila inategmea nani anakutetea na ninamnagani hakimu ama Judge anaelewa haya mambo....hayo mambo ndio yalimfanya jaji kushindwa kuunganisha ushahidi wa Polisi katika shitaka la Zombe...na tusubiri, ila lipo jambo linafuata baada ya mtu mzima mwenye dhamana kuumbuka.
 
haki itatendeka na ukweli utapatikana muda mfupi ujao
 
Polisi wakikufikisha mahakamani shukuru Mungu. Sheria ni kitu kizuri ujue tu namna ya kwenda nayo.

Kuna watu wako vituoni miezi sita sasa, hata ndugu zao hawajui, kisa walikamatwa wakiwa na hela nyingi sasa wanakaa mpaka ziishe, yaani pesa uliyoandikisha kituoni huwa hairudi. Polisi wanadanganya watuhumiwa kuwa hawaruhusiwi kupiga simu halafu wanadai rushwa ili wawaruhusu kupiga simu. Na kama unaweza kutoa kitu kidogo hata uwe muuaji hukai rumande labda isikike sana kwenye vyombo vya habari.

Hongera Muro kwa kufikishwa mahakamani, maana sheria ni kama karata.
 
Nimeongea na mwandishi wetu ambaye yupo Kisutu anasema bado hajasomewa mashtaka, lakini yupo Kisutu tayari. Kama kutakuwa na jipya tutafahamishana. Najua kuna members kibao hapa JF wanaoweza ku-access info toka Kisutu
Kumbe bado hajasomewa...sasa mlete thread alivyoandika mi nikajua ndo shtaka lenyewe...
 
Polisi wakikufikisha mahakamani shukuru Mungu. Sheria ni kitu kizuri ujue tu namna ya kwenda nayo.

Kuna watu wako vituoni miezi sita sasa, hata ndugu zao hawajui, kisa walikamatwa wakiwa na hela nyingi sasa wanakaa mpaka ziishe, yaani pesa uliyoandikisha kituoni huwa hairudi. Polisi wanadanganya watuhumiwa kuwa hawaruhusiwi kupiga simu halafu wanadai rushwa ili wawaruhusu kupiga simu. Na kama unaweza kutoa kitu kidogo hata uwe muuaji hukai rumande labda isikike sana kwenye vyombo vya habari.

Hongera Muro kwa kufikishwa mahakamani, maana sheria ni kama karata.


Hadi waziri mkuu aseme su ndio hao polisi wachukue hatua na kuacha kuropoka. Lol!
 
Back
Top Bottom