Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Sitaki kuamini kuwa Muro alifuata rushwa ya milioni 10, nakataa, mimi niliangalia kipindi chake Usiku wa habari nakukatalia Wildcard eti alijichanganya HAPANAAAAAAAAAA nakataa, ofcourse Muro never expected all that from our police kwa hiyo bado yuko kwenye shock tena big time shock. Siamini kama ni mjingaaaaa kiasi hicho eti aende City Garden mwenyewe kufuata milioni 10, please give us a break. Hata kama ana njaa asingefanya hivyooooo siyo mjinga kiasi hicho. Of course anahitaji pesa, hakuna mtu asiyetaka pesa, Jerry Muro simjui ila naamini siyo TAJIRI kwa hiyo 10 m ni big money kwake na kwangu pia, ila bado nakataa aliifuata hiyo pesa.
Maggid, tafakari yako IMENIGUSA SANA!!! Kazi ipo....
Kova alipandaje cheo? na ilikuwa wakati gani na mkuu wa jeshi la Polisi alikuwa nani? Je trend ya Kova inatofautiana na Zombe? otherwise discipline zao = same! just period!