BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Mkuu Maggid! ujumbe ni nzito na inauzunisha na kusikitisha na kwa upande wa Jerry kweli yuko kwenye kipindi kigumu na kizito kwa upande mwingine kwa waliobaki (wanahabari) wajue wapo kwenye mapambano wasirudi nyuma hayo ni mapito ya hali ya hewa, kuna kiangazi, kipupwe, masika hivyo vyote ni vipindi vya mipito vya majira ya hali ya hewa. Daima mapambano mbele kamwe wasirudi nyuma