TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Ila kwenye hii thread naona kama kuna mafisadi wengine wako hapahapa kauli zao zinajionyesha kwenye maandishi yao😉
 
Now I begin to realize that the police work is too big to be left to the school failures and drop-outs!
 
Now I begin to realize that the police work is too big to be left to the school failures and drop-outs!
 
babukijana;
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Kaka acha mahakama ifanye kazi yake, hayo mawazo angetoa maamuma tungeelewa, mbona mapema sana kuanza kumuhukumu Jerry, au na wewe ndio walewale.
 
babukijana;
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Kaka acha mahakama ifanye kazi yake, hayo mawazo angetoa maamuma tungeelewa, mbona mapema sana kuanza kumuhukumu Jerry, au na wewe ndio walewale.
 
http://www.youtube.com/watch?v=cl2Ow-Goxvc
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Tusubiri ukweli utajulikana, kwani wewe huwezi kuwekewa maiti kwenye buti ya gari lako, kisu na damu then wakapiga simu police ukakamatwa ?hakuna kitu kinachoshindikana bongo hii - sasa we subiri kesi iende mahakamani ndo utajua ukweli wote, usiongee kama mtu wa kijiweni hapa JF.
 
http://www.youtube.com/watch?v=cl2Ow-Goxvc
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Tusubiri ukweli utajulikana, kwani wewe huwezi kuwekewa maiti kwenye buti ya gari lako, kisu na damu then wakapiga simu police ukakamatwa ?hakuna kitu kinachoshindikana bongo hii - sasa we subiri kesi iende mahakamani ndo utajua ukweli wote, usiongee kama mtu wa kijiweni hapa JF.
 
KOVA kchemsha, nadhani walioko chini yake wamemdanganya kama Zombe alivyodanganywa wakati ule, Jerry alituhumiwa kupokea rushwa kubwaaaa, sasa suala si rushwa tena ni pingu, mwe KOVA give us a break!!!!!!!!!!!

Pingu zinapatikana na zinauzwa kwa maduka yauzayo siraha asitake kutudanganya hapa huyo Kova, Last year my step father alinunu siraha na pingu kule arusha na akaja nazo Shinyanga sasa leo hii amegeuza kuwa pingu hovyo kabisa na ndio maana nkasema kuwepo na mtoa habari maarumu wa police ambye atakuwa ameisha ichambua habari na kujua jinsi ya kuitoa kwa wananchi na sio anazani ni fashion kutokea kwa runinga.

 
KOVA kchemsha, nadhani walioko chini yake wamemdanganya kama Zombe alivyodanganywa wakati ule, Jerry alituhumiwa kupokea rushwa kubwaaaa, sasa suala si rushwa tena ni pingu, mwe KOVA give us a break!!!!!!!!!!!

Pingu zinapatikana na zinauzwa kwa maduka yauzayo siraha asitake kutudanganya hapa huyo Kova, Last year my step father alinunu siraha na pingu kule arusha na akaja nazo Shinyanga sasa leo hii amegeuza kuwa pingu hovyo kabisa na ndio maana nkasema kuwepo na mtoa habari maarumu wa police ambye atakuwa ameisha ichambua habari na kujua jinsi ya kuitoa kwa wananchi na sio anazani ni fashion kutokea kwa runinga.

 
Kama hamjawahi kuona mtu anaongopa, anajikanyaga, ni Muro wa jana usiku kwenye kipindi alichokiasisi yeye mwenyewe. Kashfa hii labda izimwe kisiasa tu.

Mpwa ebu tuelezee sie tulio kuwa mbali na runinga turichelewa kukiona kipindi cha Usiku wa Habari! alijikanyaga vipi?? mwagaaaa hapa chini izo newsssss

 
Kama hamjawahi kuona mtu anaongopa, anajikanyaga, ni Muro wa jana usiku kwenye kipindi alichokiasisi yeye mwenyewe. Kashfa hii labda izimwe kisiasa tu.

Mpwa ebu tuelezee sie tulio kuwa mbali na runinga turichelewa kukiona kipindi cha Usiku wa Habari! alijikanyaga vipi?? mwagaaaa hapa chini izo newsssss

 
jamani angalieni Jerry video michuzi blog utaanza jua ukweli uko wapi
Chunguza mjomba utabaini?
 
jamani angalieni Jerry video michuzi blog utaanza jua ukweli uko wapi
Chunguza mjomba utabaini?
 
Back
Top Bottom