Uzushiiiiiiiiiiiiiiii mtupuuuuuuuuuuu, police wetu wanaendelea kuchemkaaaaaa this time KOVA anachemkaaaaaa tena. Hii haijatulia duuuuuu police jipangeni upyaaa.
Viongozi wetu wa serikali punguzeni matumizi yasiyo ya muhimu, baneni matumizi, acheni UFISADI jamani tupeleke polisi shule, vyuoni, tuwapeleke mpaka nchi za nje China, Germany, USA, wakasome, naamini kabisaaaa polisi wengi walisoma shule za akina KAYUMBA, nadhani mnaeelewa, kwa hiyo wanahitaji ELIMU KUBWAA WANAHITAJI ELIMU YA WATU WAZIMA. Polisi waliosoma shule nzuri za St..bla bla., St. bla bla, St. bla bla ni wachacheeeeeee sanaaaaaa.
Tupeleke walimu, polisi, doctors, nurses, wakasome. Kesi ya Muro inaoonyesha kabisaa polisi wanahitaji kwenda shule zaidi na zaidi...
Viongozi wetu wa serikali punguzeni matumizi yasiyo ya muhimu, baneni matumizi, acheni UFISADI jamani tupeleke polisi shule, vyuoni, tuwapeleke mpaka nchi za nje China, Germany, USA, wakasome, naamini kabisaaaa polisi wengi walisoma shule za akina KAYUMBA, nadhani mnaeelewa, kwa hiyo wanahitaji ELIMU KUBWAA WANAHITAJI ELIMU YA WATU WAZIMA. Polisi waliosoma shule nzuri za St..bla bla., St. bla bla, St. bla bla ni wachacheeeeeee sanaaaaaa.
Tupeleke walimu, polisi, doctors, nurses, wakasome. Kesi ya Muro inaoonyesha kabisaa polisi wanahitaji kwenda shule zaidi na zaidi...