Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,683
kama kweli kala rushwa au kapakaziwa time will tell
this may not apply in our country... where money and greed can change the taste of time and truth of matters
kama kweli kala rushwa au kapakaziwa time will tell
JAmani sasa wewe unaomba rushwa halafu unatumia nguvu (kumfunga pingu ili atoe rushwa si kutumia nguvu?) huo ni ujambazi sasa si kuomba rushwa . Nafikiri hii ni hadithi ili k
uhalalisha uwepo wa pingu ndani ya gari la Muro
tuwasikiliza Polisi kama wana kesi yenye ushahidi utakaoweza kusimama mahakamani; kama hawana na wameboronga wawe tayari kuomba msamaha.
Na kuwa kuna watu wengine watajitokeza leo kutoa ushahidi jinsi jamaa alivyowatoa hela.
Vitha ni vitha Mura
"Muro alikuwa ameahidiana na mfanyabiashara mmoja kuwa angepewa Sh10 milioni kama hongo, lakini mfanyabiashara huyo alitoa taarifa polisi na ndio leo (jana) wamefanikiwa kumkamata. Walimkamata mara baada ya kupokea fedha hizo," alisema mtoa taarifa
Mzee Mwanakijiji;
Kuna vitu havi TALLY hapo.
1. Pingu ya nini kwa mtu kama yeye??
2. Kama alipigiwa simu na kwenda eneo la tukio, Je alipokea hiyo hela?
3. Kwanini hela itoke polisi na sio TAKUKURU?
4. Wage alijuaje Jerry ana pingu kwenye gari lake?
Kuna dots zina miss kwenye hii movie..
FP
Hivi kuna mtu asiyeamini mwenzake humu? ni kweli tukio hili limetokeaDuh hizi nyeti ni za kweli? Manake tusije anza kuchangia story za kusadikika au zile za kutumiana meseji katika simu!?
taarifa nilizopata muda si mrefu mwandishi wa habari aliyejipatia umarufu kwa kufichua rushwa za trafiki naye amekamatwa kwa kuomba rushwa ya milioni 10
kama kweli kala rushwa au kapakaziwa time will tell