Na mbona wanapokuwa wakisema hizo tabiri zao hawasemi na cure? zaidi sana wanasema tuzidi kuomba. I mean they always let you in doubts, they're never specific about a solution. This makes me question their validity
Airspace ya Ukraine siku hizi inakwepwa, hamna ndege inayopita huko isipokuwa za kivita tu
Unabii huo wa jamaa sijauamini
akipatia tena safari hii naokoka nakuacha bia na fegi..
Alitabiri zuru kwamba lowassa is the next presdent after fastjet
labda ndo mambo ya lesotho
tatizo tulilonalo sisi binadamu ni moja tu, nalo ni hili huwa tunafikiri watumish wa Mungu ni watu wa kushindana nao na kuwabeza.Huu ni unabii sio utabiri
Maombi ndo cure yenyewe
We ulitaka cure iweje?
Ambao hawana cure ni wale wa utabiri
Mbona anatabiri mabaya tu, kwa nini sio mambo mazuri.?!Yes u a ryt
Nimemwambia mtoa mada asahihishe hajasema hiko kitu.
Mbona anatabiri mabaya tu, kwa nini sio mambo mazuri.?!
akipatia tena safari hii naokoka nakuacha bia na fegi..
TB JOSHUA Aliwahi kutabiri nini hasa kikatokea? Mara Ngapi??
Naomba mtu anisaidie japo evidences chache tu ili nianzie hapo.....
I'm serious!
Amesema ni southern countries
Hana lolote ni tapeli kupitia imani. Ana intelligence yake au kubahatisha. Mara nyingi utabiri wake haitokei.