Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Mnachanganya Mambo. Kama kasema South Africa County ... mbona ni tofauti sana na kusema nchi inayopakana na Kenya.

Hasa mleta mada aje aseme .. ametoa wapi neno Kenya?
 
MBONA WANATABILIGI MABAYA TU? MAZURI HAWASEMI...KILA KUKICHA: KUNA AJALI....UTAKUFA...KUNA WATU WANAPANGA KUKUTEKA...BLAH BLAH BLAH..Wantumia vitisho ili uwape hela (sadaka) wakuombee wakisema ati ndo pona yako!! what a way of making a living!!!
 
Mnachanganya Mambo. Kama kasema South Africa County ... mbona ni tofauti sana na kusema nchi inayopakana na Kenya.

Hasa mleta mada aje aseme .. ametoa wapi neno Kenya?

Yes u a ryt
Nimemwambia mtoa mada asahihishe hajasema hiko kitu.
 
MBONA WANATABILIGI MABAYA TU? MAZURI HAWASEMI...KILA KUKICHA: KUNA AJALI....UTAKUFA...KUNA WATU WANAPANGA KUKUTEKA...BLAH BLAH BLAH..Wantumia vitisho ili uwape hela (sadaka) wakuombee wakisema ati ndo pona yako!! what a way of making a living!!!

Unataka yatwaje mazuri kama yapi?

Ushawahi kuona wapi tabibu anatibu wenye afya...???
 
MBONA WANATABILIGI MABAYA TU? MAZURI HAWASEMI...KILA KUKICHA: KUNA AJALI....UTAKUFA...KUNA WATU WANAPANGA KUKUTEKA...BLAH BLAH BLAH..Wantumia vitisho ili uwape hela (sadaka) wakuombee wakisema ati ndo pona yako!! what a way of making a living!!!

Alitabiri zuru kwamba lowassa is the next presdent after fastjet
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

huyu msoma mnajimu hana lolote!
 
Na mbona wanapokuwa wakisema hizo tabiri zao hawasemi na cure? zaidi sana wanasema tuzidi kuomba. I mean they always let you in doubts, they're never specific about a solution. This makes me question their validity
 
Don't misquote ni bora kusikiliza kwa makini sn kabla kuwasilisha
 
naaaangalia program jamani

mambo mengi aanayatabiri na hutimi

ila anatoa onyo watu waombe so isotokea jua watu wameomb
 
I do not buy anything from his focus and predictions, as I believe to the almighty god only.
 
Na mbona wanapokuwa wakisema hizo tabiri zao hawasemi na cure? zaidi sana wanasema tuzidi kuomba. I mean they always let you in doubts, they're never specific about a solution. This makes me question their validity

cure????
anasema uombe/muombe and the like ili isitokee
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

huyu jamaa tushamzoea bana..
 
Back
Top Bottom