Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,040
- 2,688
Bado unajidhihirisha nilichokisema ...ndio maana nmefanya mwambato kwenye ujumbe wako ...kwa utajo wangu huo nilimanisha weye ndiwe na si mwingine humu jukwaani ,sasa unapotumia wingi kwenye jumbe zako huoni kwamba bado u katika level mfanano ??Huo ni mtazamo wako na nakushauri tu jaribu kufuatilia comments more than 70 inakuwaje wewe utulazimishe tukubaliane na unacho taka wewe?
Wewe ni nani zaidi ya kuwa ni jf member?