Hao walinzi ni dhidi ya maaduI wa nje,
Enemies from foreign intelligence agencies,nchi yoyote lazima Kuna ma agent wa nchi zingine wenye nia ya kuvuruga amani ya nchi kwa maslahi yao wenyewe,sasa raisi lazima alindwe,Raisi akiuliwa ni hasara kwa nchi.
Nchi kama Uganda,au Congo,Burundi,lazima zinapenda zione Rwanda inayumba kutokana na vita zao za kimaslahi.hapo lazima Raisi wa nchi alindwe.
Chukulia mfano Mashambulizi anayofanya Israel kwa Iran,ameua sana wanasayansi wake,sasa lazima utakuta ulinzi wa Raisi wa Iran ni mkubwa,Richa ya kwamba amechaguliwa na asilimia 90 ya wairan.Maadui wa nje ni kitisho zaidi.