Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Walinzi wake wanafanana na walinzi ya mkubwa fulani hapa Africa,kuanzia muonekano,silaha,ufanyaji kazi nk!
Mzee mmoja kijijini aliwahi kuniambia kuwa Siku Ndgu akianza kuwaamini majilani kuliko sisi wanafamilia yake bhasi ni either tufanye kila linalowezekana tumfukuze au tungoje kufukuzwa sisi!...
Uoga wa kitoto huo
 
huyo yupo kwenye hatari ya kupinduliwa
 
Hivi mnajua vita ya kupigana na mafisadi na wauza unga nyie
huwezi fanya hii biashara bila kuwa na ushirikiano wa polisi/serikali... wafanyibiashara wote wakubwa na hatari hufahamika vyema na watu wa serikali, hivyo hawawez kuwa threat kwa rais hata kidogo
 
Wana jamvi nashindwa kuelewa inakuwaje viongozi wengi wa Afrika wanakuwa na lundo kubwa la walinzi kiasi hiki.
Kama umechaguliwa na wananchi wako yanini kuogopa kiasi hiki?au na Rwanda kuna alshababu?View attachment 1101060
Yuko sahihi ni mapema mno kwake kwenda kwenye nchii nyingine ambayo mtawaala ni Mwenyezi Mungu na Ibilisi Luciffer kwa upande mwingine
 
kulindwa ni mhimu aise unaongoza watu mamilion pia hyo nafac wapo weng wanaitaka na wanaona ww hufanyi ka wanavyotaka wao sasa usipo kuwa na ulinz s utakufa napema,hata nyie mnaoshangaa humu bado na ww ukipata nafac hiyo lazima ulindwe tena ukute zaid ya hapo,halafu msilolijua rais halazimishi kulindwa kuna kabinet ikiona kuna urazima wakufanya hivyo inafanya.
 
Huyo anatwanga tu maji kwenye kinu hamna kitu hapo. Anajua akina Sadat, Saddam, Doe nk walivyokuwa wanalindwa..!!

Huyo damu ya aliyowaua ndio inamsumbua, ataishi hivyo hivyo kama nyoka aliyejificha ndani mwa mtu ila tarehe ikifika hatawaona hao, atakufa mwenyewe tu huyo dikteta.
 
Wana jamvi nashindwa kuelewa inakuwaje viongozi wengi wa Afrika wanakuwa na lundo kubwa la walinzi kiasi hiki.
Kama umechaguliwa na wananchi wako yanini kuogopa kiasi hiki?au na Rwanda kuna alshababu?View attachment 1101060
Hapo nikiwa na sniper riffle kule mbali mitini namuondoa! Tena amesimama vizuri kwenye stage kunirahisishia!
 
Arafu utaona kuna zombie linakuja linasema jamaa alichaguliwa kwa kura 99.9 kuwa raisi wa kudumu[emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom