Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Anashindana na muumbaji wake
Huyo anatwanga tu maji kwenye kinu hamna kitu hapo. Anajua akina Sadat, Saddam, Doe nk walivyokuwa wanalindwa..!!

Huyo damu ya aliyowaua ndio inamsumbua, ataishi hivyo hivyo kama nyoka aliyejificha ndani mwa mtu ila tarehe ikifika hatawaona hao, atakufa mwenyewe tu huyo dikteta.
 
Tembelea mbao za wauza magazeti ufanye utafiti na utayakuta uhuru na mzareendo yamejazana kibao hayana mnunuzi
Na nyinyi mtasoma wenyewe TANZANIA daima. Siku hizi hakuna mtu ana shida nalo tena.
 
Wasi wasi wake ni nini haswaa wakati alichaguliwa kwa 99.9%?
kulindwa ni mhimu aise unaongoza watu mamilion pia hyo nafac wapo weng wanaitaka na wanaona ww hufanyi ka wanavyotaka wao sasa usipo kuwa na ulinz s utakufa napema,hata nyie mnaoshangaa humu bado na ww ukipata nafac hiyo lazima ulindwe tena ukute zaid ya hapo,halafu msilolijua rais halazimishi kulindwa kuna kabinet ikiona kuna urazima wakufanya hivyo inafanya.
 
Kwani hata Mbowe si anatembeaga na mabaunsa wanaoning'ia kwny magari?

Na hapo sio rais,akiwa rais hudhani angekua na ulinzi mzito?

IMG_20210629_164045.jpg
 
Halafu utasikia hivi sasa Kagame kaifanya Rwanda iwe ni nchi ya amani! Kiongozi unalindwa na kombania mzima halafu unasema nchi ina imani!! Au ina maana kasoro kwake yeye tu?! Tena hao ni wale wanaoonekana lakini kutakuwa na wengine wengi zaidi waliojichanganya na raia na wengine wakiranda randa huku na huko kwa hofu ya uwezekano wa kuwapo na snipers!!
Hivi Marekani na Rwanda wapi kuna demokrasia? Hivi Kagame anaweza kuwa mtu anae lindwa zaidi ya Joe Biden?
 
Mbona mama Samia halindwi na vikosi 10 vya jeshi na vifaru?
Hakuna Rais asielindwa duniani, analindwa kama wengine tu, hoja yenu kuwa madikteta wanalindwa sana kuliko wasio madikteta pia ni batili, maana Joe Biden mtu wa demokrasia analindwa kuliko hao madikteta mnao wasema
 
Hakuna Rais asielindwa duniani, analindwa kama wengine tu, hoja yenu kuwa madikteta wanalindwa sana kuliko wasio madikteta pia ni batili, maana Joe Biden mtu wa demokrasia analindwa kuliko hao madikteta mnao wasema
Dikiteeta atabakia kuwa ni shetani ndiyo maana wanakufaga hovyo
 
Back
Top Bottom