Halafu utasikia hivi sasa Kagame kaifanya Rwanda iwe ni nchi ya amani! Kiongozi unalindwa na kombania mzima halafu unasema nchi ina imani!! Au ina maana kasoro kwake yeye tu?! Tena hao ni wale wanaoonekana lakini kutakuwa na wengine wengi zaidi waliojichanganya na raia na wengine wakiranda randa huku na huko kwa hofu ya uwezekano wa kuwapo na snipers!!
Wana jamvi nashindwa kuelewa inakuwaje viongozi wengi wa Afrika wanakuwa na lundo kubwa la walinzi kiasi hiki.
Kama umechaguliwa na wananchi wako yanini kuogopa kiasi hiki?au na Rwanda kuna alshababu?View attachment 1101060
Mbona wa kawaida tu au hao mabaka mabaka ndio wamekutisha mkuu? Ulishawahi kuushuhudia ulinzi wa Rais wa Amerika ktk bara la afrika hasa ukanda wenye harufu ya vitavita?
Wala sio uongo! Bila kusahau wengine walio kwenye mapaa ya nyumba za jirani!Kuna uwezekano na juu kukawa pia na chopa zinaranda
ndio, kwasababu viongozi wetu ndiko waliko tufikisha.Duuu kunakuwa na ndege zinalanda?
Hapo sasa! Unadai unapendwa na +90% ya wananchi na bado unalindwa na battalion mzima!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122]
Alafu anakwambia anaongeza kipindi kingine cha utawala kwa sababu anapendwa sana
Unataka kusema jamaa ni bingwa wa kutazamia?
hamna kitu mle!Ina maana hizo PhD zina walakini?