Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Tazameni ulinzi wa Rais Paul Kagame

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Wana jamvi nashindwa kuelewa inakuwaje viongozi wengi wa Afrika wanakuwa na lundo kubwa la walinzi kiasi hiki.
Kama umechaguliwa na wananchi wako yanini kuogopa kiasi hiki?au na Rwanda kuna alshababu?
FB_IMG_1558102471989.jpeg
 
Walinzi wake wanafanana na walinzi ya mkubwa fulani hapa Africa,kuanzia muonekano,silaha,ufanyaji kazi nk!
Mzee mmoja kijijini aliwahi kuniambia kuwa Siku Ndgu akianza kuwaamini majilani kuliko sisi wanafamilia yake bhasi ni either tufanye kila linalowezekana tumfukuze au tungoje kufukuzwa sisi!...
 
Kwa ushauri wako bora lipi hapo kati ya mawili?
Walinzi wake wanafanana na walinzi ya mkubwa fulani hapa Africa,kuanzia muonekano,silaha,ufanyaji kazi nk!
Mzee mmoja kijijini aliwahi kuniambia kuwa Siku Ndgu akianza kuwaamini majilani kuliko sisi wanafamilia yake bhasi ni either tufanye kila linalowezekana tumfukuze au tungoje kufukuzwa sisi!...
 
Halafu utasikia hivi sasa Kagame kaifanya Rwanda iwe ni nchi ya amani! Kiongozi unalindwa na kombania mzima halafu unasema nchi ina imani!! Au ina maana kasoro kwake yeye tu?! Tena hao ni wale wanaoonekana lakini kutakuwa na wengine wengi zaidi waliojichanganya na raia na wengine wakiranda randa huku na huko kwa hofu ya uwezekano wa kuwapo na snipers!!
 
Back
Top Bottom