Wana jamvi nashindwa kuelewa inakuwaje viongozi wengi wa Afrika wanakuwa na lundo kubwa la walinzi kiasi hiki.
Kama umechaguliwa na wananchi wako yanini kuogopa kiasi hiki?au na Rwanda kuna alshababu?View attachment 1101060
Hahah eti Kombania duuhHalafu utasikia hivi sasa Kagame kaifanya Rwanda iwe ni nchi ya amani! Kiongozi unalindwa na kombania mzima halafu unasema nchi ina imani!! Au ina maana kasoro kwake yeye tu?! Tena hao ni wale wanaoonekana lakini kutakuwa na wengine wengi zaidi waliojichanganya na raia na wengine wakiranda randa huku na huko kwa hofu ya uwezekano wa kuwapo na snipers!!
Nazungumzia nchi ya Marekani mkuu,afrika hakuna nchi inaitwa Marekani.Marekani ipi hiyo mkuu maana kuna marekani nyingine ipo Afrika?
Comment yako hii imeku value na kuku estmate the level of understanding kwamba ni ya chini sana ! Yenye kuingiliwa na mdudu aitwa umagharibi kwa kuutukuza u America !! This is totally a crap !! Tafadhari badili namna ya kufikiriSasa ndugu yangu unailinganisha ulinzi wa rais wa dunia na ulinzi wa mwenyekiti wa kijiji?
Comment yako hii imeku value na kuku estmate the level of understanding kwamba ni ya chini sana ! Yenye kuingiliwa na mdudu aitwa umagharibi kwa kuutukuza u America !! This is totally a crap !! Tafadhari badili namna ya kufikiri
Ma dictator wote duniani huwa na hofu Sana na huwa wanajali walinzi kuliko chochoteIna maana hata Kagame anapambana na wauza unga?