AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,651
- 1,700
Nini hii?
Nini hii?
Amiri jeshi mkuu alivaa za JWTZ kule Arusha, Mwigulu kavaa za polisi TMK,....Nasubiri kumwona Ummy kavaa za manesi pale Muhimbili!View attachment 386759
wafutiwe kesi, kumbe kama comedians wanaruhusiwa kuzivaa.
ni hii post ina chuki gani kwa mfano ama wewe ndo unachuki na ukawa?Ukawa mnaboa sana kwa chuki zenu, tunaona Wabunge wa Chadema, katika page zao wanapost kila wanachofanya... Sio tatizo, ikifanywa na wa CCM.. Inakua nongwa.. Siasa haiko hivyo punguzeni chuki na Husda
Tena Wabunge wa ukawa walikua wanajirekodi na kupost bungeni
vua mawani kiongozi utaona ni kitu gani hichoNini hii?
Amiri Jeshi Mkuu anaweza kuwa exempted kwa nafasi yake, lakini waziri wa ulinzi si askari.Amiri jeshi mkuu alivaa za JWTZ kule Arusha, Mwigulu kavaa za polisi TMK,....Nasubiri kumwona Ummy kavaa za manesi pale Muhimbili!
Barricade Tape ktk gari duh? Only in Tanzania.vua mawani kiongozi utaona ni kitu gani hicho
HahahaAmiri jeshi mkuu alivaa za JWTZ kule Arusha, Mwigulu kavaa za polisi TMK,....Nasubiri kumwona Ummy kavaa za manesi pale Muhimbili!
hahahaha si ndo lililotatuliwa na majambazi hahahaha afadhali umeona mwenyewe mkuuBarricade Tape ktk gari duh? Only in Tanzania.
Point ipo kwenye kuigana...kuna ambao wapo sahihi na wengine ni tambo tu..Amiri Jeshi Mkuu anaweza kuwa exempted kwa nafasi yake, lakini waziri wa ulinzi si askari.
Na wewe ebu nisaidie kitu,...m/kt parole atavaa zipi??? brwn au ornge?Hahaha
1998 nikiwa kijana mdogo kabisa pale monduli arusha niliapishwa na kupewa nyota na william mkapa so kwangu itafika mahala pake kabisa, ndio maana bado ninalo la kusema kua ni petty staffNaifahamu vizuri icho unachonambia. Nikuletee gwanda uvae? Itakuwa ni petty staff. Who cares?
Hujui maana ya"ambush " weweSasa yale mazoezi wanayoshinda wanafanya barabarani ni ya nn?
Anaitwa amir jeshi mkuu... Mwamunyange anadondosha salute kwakeAmiri jeshi mkuu alivaa za JWTZ kule Arusha, Mwigulu kavaa za polisi TMK,....Nasubiri kumwona Ummy kavaa za manesi pale Muhimbili!
Kwani mimi nimemwita nani? Yeah ni Amiri jeshi mkuu hilo linajulikana!Anaitwa amir jeshi mkuu... Mwamunyange anadondosha salute kwake
Ukiwa mlinda usalama wakati wote unakua targeted maaduiHujui maana ya"ambush " wewe
Hahaha mkuu sitaki kubishana. I have a lot of staff to do. Let's end it here. Mwigulu amefanya kosa. Na lazima tuongee. Na usitumie msemo wa petty staff ktk swala kama hilo . anayeshindwa pia ni mwanaume. Tchaoo1998 nikiwa kijana mdogo kabisa pale monduli arusha niliapishwa na kupewa nyota na william mkapa so kwangu itafika mahala pake kabisa, ndio maana bado ninalo la kusema kua ni petty staff
kutwa mikono mfukoni tu loh!! swahili bossesKisheria anaruhusiwa kuvaa hizi nguo au anaiga za comedy?
View attachment 386735View attachment 386736View attachment 386737