Mnadiscuss mavazi tena aaah wazee hizo ni petty staff hasa katika nchi kma hii lililo kubwa hapo ni uwajibikaji juu ya kudhibiti matukio kama hayo
Hali si shwari kabisa na huo ni mwanzo tu kama unakumbuka matukio ya kupora silaha rai yangu ni kwamba mufahamu bwawa la kijiji tayari lina ruba wengi sana sasa wandugu muwe makini katika mikusanyiko,na sehemu za starehe maana hili si swala la kubeza kabisa, lolote linaweza tokea .
Mtandao ni mkubwa na haya mambo hayafanyiki kiolela yamepangwa kama mnakumbuka waliaanza kwa kuiba silaha pembezoni mwa miji sasa wanazidi kuhakikisha wanatimiza hatma yao ambayo mimi wala wewe hatuijui isipokua mshindo lazima ufate.