Tayari keshapost

Tayari keshapost

Ukawa kwa NONGWAAAA... chadema wanavaa za mgambo hakuna aneyehoji
Adharusi naona tumekuwa na mitazamo inayokinzana kwenye hili ila mgambo ni majority na kwenye majeshi rasmi hayatambuliki kwenye rank yoyote lakini hapa tunachoji ni mtu mmoja mwenye dhamana ya cheo cha kisiasa kuvaa nguo za majeshi
 
huu mchezo hautaki hasira...halafu si vema kuwadhalilisha wanawake! Kasome tena kanuni za uongozi bora na dhana nzima ya kuwajibika
Nijibu swali hili post yake kwenye akaunti yake mtandaoni imesaidiaje wahanga na kwenye harakati za kuwakamata majambazi...usijibu kwa haraka tafakari kwanza
Sasa wewe unaambiwa na Mkuu Karne "Weka kifungu cha sheria kinachomkataza waziri kupost kwenye address yake habari?"

Badala ya kuweka hicho kifungu umeishia kurukaruka tu kama Kangaroo!
Dunia nzima viongozi wengi wanawasiliana na wanachi wao kwa njia hiyo na sio tatizo!

Uwe unatoka japo kidogo tu nje ya JF ili uone dunia inakwendaje huko nje? Usipoteze muda mwingi sana humu,matokeo yake ndio hayo unaongea pumba tu,


Mimi nafikiri wewe ndio huna kazi ndio maana umeichoropoa hiyo habari huko ilipokua na kuja kuifungulia thread humu..!!
 
Nikwambie kitu ile haikuwa karamu wala sherehe ya washkaji harusi nk ambapo mtu katikati ya sherehe anaweza kutupia na hata kupiga selfie
Pale yameteketea maisha ya askari wetu vijana wetu tuliotumia kodi zetu kuwatrain...kumbuka ni ishu ya ujambazi very sensitive one!
Ni haki yake kutupia lakini ni sahihi kwa wakati ule!!!
Hivi kipaumbele ilikuwa ni kutupia ama kuangalia nini cha kufanya baada ya tukio kama lile?
Umejuaje kabla ya kutupia ile habari hakua amefanya chochote? Acha hizo assumption zako wewe,wewe ulitaka asubiri hao watuhumiwa wakamatwe kwanza ndio atupie habari? Acha wivu wakike wewe!
 
Huwezi ku-rule out na political motives, anything is possible...
Naona pia kuna harufu ya visasi au kupata silaha...kumbuka jambazi wa mabibo alikamata na magazine zisizopungua kumi na risasi karibu 300
 
image-jpeg.365540


Basi na huyu aruhusiwe tu kuvaa mavazi haya.
Hahhahahaaaa akinya kuku ni sawa lakini akinya bata kaharisha
 
Naishi mbagala. Karibu na eneo la tukio nimepata info zote. Na kuna wanaonihusu ktk walojeruhiwa. In short I know in and out ya tukio zima. Sasa swali langu lijibu kulikuwa na umuhimu gani mwigulu kuvaa vile
Mkuu hii "in and out ya tukio zima" inaweza ikahitaji maelezo punde wenye dhamana wakiiona.
 
Huyu waziri au mwandishi wa habari?
 
Back
Top Bottom