AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,651
- 1,700
Mkuu itakuwa wewe muhaya. Alafu wewe ni dhaifu mno wa kujenga hoja.Anaitwa amir jeshi mkuu... Mwamunyange anadondosha salute kwake
Mkuu itakuwa wewe muhaya. Alafu wewe ni dhaifu mno wa kujenga hoja.Anaitwa amir jeshi mkuu... Mwamunyange anadondosha salute kwake
Hahaha pathetickutwa mikono mfukoni tu loh!! swahili bosses
Hukuelewa my take ilikua usalama zaidi..labda niulize ikiwa aliyekufa ni mama ako au mke wako ungekua busy kujudge hayo na unajudge hayo kama nani?? Sasa nafikiri umenielewa bwa mdogoHahaha mkuu sitaki kubishana. I have a lot of staff to do. Let's end it here. Mwigulu amefanya kosa. Na lazima tuongee. Na usitumie msemo wa petty staff ktk swala kama hilo . anayeshindwa pia ni mwanaume. Tchaoo
Hapana ni mmasai naeipenda nchi yangu na kujali raia wa hii nchi.Mkuu itakuwa wewe muhaya. Alafu wewe ni dhaifu mno wa kujenga hoja.
Wamasai wengi wanakuwa masterminded. Wewe mbona hivyo . I have a lot of doubts. KakaHapana ni mmasai naeipenda nchi yangu na kujali raia wa hii nchi.
mbona alivokuwa anavaa zile za mgambo hamkuhoji? punguzeni hoja zisizo na tija kwa maendeleo ya taifaHata mimi nimeshangaa kumuona mwigulu kavaa uniform za polisi!!! Ni mara yangu ya kwanza kuona waziri mwenye cheo cha kisiasa tu kavaa sate za jeshi.
Yale ni mazoez kwa ajili ya ukuta.. Sasa haya ndo matokeo yake.Sasa yale mazoezi wanayoshinda wanafanya barabarani ni ya nn?
Kisheria anaruhusiwa kuvaa hizi nguo au anaiga za comedy?
View attachment 386735View attachment 386736View attachment 386737
Hawa jamaa wamejiandaa kupambana na UKUTA wakati wanasahau kuwa UKUTA NI UKUTA NA UTABAKI NI UKUTA. intekijinsia yao mwisho wa kuona ni UKUTA Mengineyo kama hayo ya kupoteza wajeda wenzao hiyo inteLijinsia yao haifanyi kazi kabsaa.Hahaha pathetic
Mkuu nimecheka sana. Iyo ya kigwangalla. Ila mwisho wa Siku tujitathmini hawa viongozi na drama zao za awamu hii ya tano . zina mantiki IPI MTU wa 41yrs mwigulu kufanya show off kama zile aoni aibu.?Kaka hii nchi haita isha maigizo kamwe?, maana inanikumbusha Kigwangala aliamka saa kumi na moja kwenda kufunga geti Wizara ya Afya huku akiwa na suti nyeupe na rundo la waandishi wa habari na waandishi wakaripoti ilikuwa ni ziara ya kustukiza,
Sasa sijui huyu bwana mkubwa alikuwa anajua hilo tukio?, maana sipati picha iweje akurupuke huo usiku akiwa ndani ya uniform? nasubiri kumuona na uniform za uhamiaji siku wahamiaji haramu wakikamatwa au uniform za Magereza siku wafungwa wakigoma, au uniform za Zimamoto siku tukio kubwa la moto likitokea
Cc: mshana jr
Duh mkuu inasikitishaHawa jamaa wamejiandaa kupambana na UKUTA wakati wanasahau kuwa UKUTA NI UKUTA NA UTABAKI NI UKUTA. intekijinsia yao mwisho wa kuona ni UKUTA Mengineyo kama hayo ya kupoteza wajeda wenzao hiyo inteLijinsia yao haifanyi kazi kabsaa.
SHWAIN.....![]()
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Sikuziona picha ambazo alikua amevaa sare za mgambo ndiyo maana nimehoji sasa na pia sidhani kama kuhoji kuna athiri shughuli zozote za maendeleo ya taifa.mbona alivokuwa anavaa zile za mgambo hamkuhoji? punguzeni hoja zisizo na tija kwa maendeleo ya taifa
Naitwa soori james kitoi, doubts hazipingwi kuwa nazo ni muhimu wakati mwingine ila nakuhasa tu kama ME mwenzangu tena mtanzania mwenye damu 'fuata ndugu' kwasasa ukiwa busy kujudge sijui flani kavaa nini wakati nchi inakwenda mlama unachekesha,tena sana, ni sawa mwanao apate car accident af uwe busy kuchagua dr wa kumtibu... Najua waTz tunapenda tujue kila kitu wakati mwingine wepesi kutafuta point of weakness na kusahau mambo ya msingi yaliyofanyika au yanayopaswa kufanyika ndio maana kunawakati ata wewe ungekua sehemu ya mtazamwa na sisi wananchi wenye hila yaani sisi watanzania wenzio tungekuona unatupotezea muda karibu in kila kitu,,, so kuna wakati lets focus in things that matter. Mwanao anaitaji emmediate care unit shauri Hospital ipi na dr yupi anafaa SIMPLE!Wamasai wengi wanakuwa masterminded. Wewe mbona hivyo . I have a lot of doubts. Kaka
Futa jina lako. Mengine umeeleweka. Siku njema mkuuNaitwa soori james kitoi, doubts hazipingwi kuwa nazo ni muhimu wakati mwingine ila nakuhasa tu kama ME mwenzangu tena mtanzania mwenye damu 'fuata ndugu' kwasasa ukiwa busy kujudge sijui flani kavaa nini wakati nchi inakwenda mlama unachekesha,tena sana, ni sawa mwanao apate car accident af uwe busy kuchagua dr wa kumtibu... Najua waTz tunapenda tujue kila kitu wakati mwingine wepesi kutafuta point of weakness na kusahau mambo ya msingi yaliyofanyika au yanayopaswa kufanyika ndio maana kunawakati ata wewe ungekua sehemu ya mtazamwa na sisi wananchi wenye hila yaani sisi watanzania wenzio tungekuona unatupotezea muda karibu in kila kitu,,, so kuna wakati lets focus in things that matter. Mwanao anaitaji emmediate care unit shauri Hospital ipi na dr yupi anafaa SIMPLE!
Mkuu na wewe siku hizi umekuwa mtu wa nongwa.