Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Habari zenu wakuu,

Ni matumaini yangu mnaendelea na kulijenga taifa.

Mimi ni kijana wa miaka 25, Nime-experience hii kitu kwa mara ya kwanza Jumamosi baada ya kukutana na mpenzi na tukapiga rounds kama 4 hivi.

Ile ya 5 mashine ilikuwa inasimama na kusinyaa, yani haikuwi ile erected ya kuweza kupenetrate kwa mwanamke hadi tukashindwa kuendelea.

Lakini hadi leo naona bado ipo hiyo kitu yani, nimeshindwa kabisa ku-erect japo nimejaribu pia kuangalia video za uchi kidogo labda nitaweza kusimamisha ila imekataa kabisa.

Naomba anayeweza kuwa na idea na hii kitu na solution pia anisaidie wakuu.

Natanguliza shukrani.
Demu Kakuroga huyo
 
Hiki kitabu mkuu unakisoma tuu ndio unapona au.....
Nenda duka la dawa za waganga za kienyeji ukiza dawa za kukata uchawi za kujifukiza utapona
Au tafuta kitabu kinaitwa the magic can't work on me ni kigumu kufanya yale ila ukiweza hakuna wa kukugusa hata ukaibe kwa Mganga
 
Title inajieleza

Hope ni wazima jaman Kama kuna mtu aliwai patwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume atueleze aliponaje au alitumia nin adi akapona na wengine wajue jaman share na sisi free education
 
No hamna mwenye tatizo afu sijaomba mapendekezo but nimeuliza mtu alifanya nin adi akapona ili na wengine wakisoma wajifunze
Kwa ninavyoijua JF, hamna mwanaume humu atakayekujibu swali hilo kuwa aliumwa akatumia nini akapona.

Labda kama unataka ushauri wa Kidaktari nikupe.
 
Nakuskiliza
Nimechelewa kukujibu sababu ya majukumu mengine.

Upungufu wa nguvu za kiume "erectile dysfonction" husababishwa na vitu vingi.
Utanisamehe kwa Kiswanglish.

1. Magonjwa kama Kisukari na Shindikizo la damu.

2. Unene kupita kiasi na ugonjwa wa usingizi "Sleep Apnea".

3. Matumizi ya tumbaku.

4. Baadhi ya tiba kama Mionzi kwa ajili ya Saratani, opareshi ya Tezi dume nk.

5. Tiba kama za msongo wa mawazo "antidepressants", Tiba za shindikizo la damu nk

6. Magonjwa kama magonjwa ya saikolojia "Depressions, Antiety and Stress".

7. Kunywa pombe kupita kiasi.

8. Kuumizwa kwenye sehemu za nyonga kwenye michezo nk "Physical injuries on pelvic region".

9. Upungufu wa homoni za kiume "Low testosterone".

10. Baadhi ya magonjwa ya mishipa ya fahamu "Some neurological diseases".

11. Matatizo ya kimahusihano kati ya mgonjwa na mwenza wake. (Relationship problems due to stress, poor communication or other concerns).

Hizo ni baadhi ya sababu "Risk Factors" zinazopelekea mtu kukumbwa na tatizo la nguvu za kiume.

Tiba yake inategemea na sababu yake, kwahiyo tiba inatofautiana mtu.

1. Tiba bora ya Shindikizo la damu na Kisukari

2. Kupunguza unene kwa kufanya mazoezi na lishe bora.

3. Kuacha matumizi ya tumbaku.

4. Kupunguza kunywa pombe kupita kiasi au kuacha kabisa.

5. Pata tiba bora ya saikolojia.

6 Uwe maelewano mazuri na mwenza wako.

7. Viagra hutumika kutibu kwa sababu imethibitishwa kwa matumizi ya "erectile dysfonction"

Hizi ni baadhi vitu unawezakufanya ili kukisaidia kuondokana na tatizo hilo.

Hiyo Kidaktari, tofauti na kiswahili swahili mtaani zile tiba za asili ALKASUSU, MCHUZI WA PWEZA, VUMBI LA KONGO na zingine nyingi, hazina uthibitisho kisayansi lakini zinasaidia kiasi fulani kuongeza kujiamini kitaalamu inaitwa "Placebo effect" . Au inawezekana kuwa zinatibu kweli.
 
Back
Top Bottom