RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Mkuu bado mm ni mdogo kiumri ndo nina 24 tu.umri umeenda
Mkuu bado mm ni mdogo kiumri ndo nina 24 tu.umri umeenda
Mkuu push ups 70 tu tosha kabisa,,Pushapu tu zinatosha hakuna haja ya kufanya mazoezi mengine?
Na kama ni pushapu tu ninatakiwa kupiga ngap kila hasubuhi?
Hasante mkuu nita zingatia hilo.Mkuu push ups 70 tu tosha kabisa,,
Ukipiga push up unashtua misuli ya tumbo,,
Hivyo kupelekea kuboost mishipa ya dushe..
Amini mkuu...View attachment 1597541
Hasante mkuu ngoja nifanye mchato wa kumcheki.Kuna jamaa namjua nae alipata shida hii, sasa akamtafuta sijui nani akampa fomula ya matunda na akawa vizuri.
Kila kitu kinawezekana, wala usiwe na hofu..ni changamoto kama changamoto zingine tuuHasante mkuu ngoja nifanye mchato wa kumcheki.
ohooooo!!duh pole sana, kuna rafiki yangu hii kitu ilimtokeaga ivyo ivyo ilikuwa mwaka 1998 mpaka mwaka jana ume wake ulikuwa hausimami kabisa (nimesema mpaka mwaka jana, maana mwaka jana ndio tulimzika). pole sana mkuu watakuja watu kukuambia utumie dawa hii na ile ila ndio haitasaidia kitu, ila kuna wanaume uwawekea dawa wapenzi wao ili mtu atakayekutana nae ukichomeka tu taratibu taratibu nguvu upotea za uume na hatimaye kuwa ivyo, pole sana sana sana
Kinapatikana wap hiko kitabu ?Nenda duka la dawa za waganga za kienyeji ukiza dawa za kukata uchawi za kujifukiza utapona
Au tafuta kitabu kinaitwa the magic can't work on me ni kigumu kufanya yale ila ukiweza hakuna wa kukugusa hata ukaibe kwa Mganga
Alifariki sababu ya uume kutosimama au matatizo mengine?duh pole sana, kuna rafiki yangu hii kitu ilimtokeaga ivyo ivyo ilikuwa mwaka 1998 mpaka mwaka jana ume wake ulikuwa hausimami kabisa (nimesema mpaka mwaka jana, maana mwaka jana ndio tulimzika). pole sana mkuu watakuja watu kukuambia utumie dawa hii na ile ila ndio haitasaidia kitu, ila kuna wanaume uwawekea dawa wapenzi wao ili mtu atakayekutana nae ukichomeka tu taratibu taratibu nguvu upotea za uume na hatimaye kuwa ivyo, pole sana sana sana
waweza kutuwekea hapa softcopy pls?Nenda duka la dawa za waganga za kienyeji ukiza dawa za kukata uchawi za kujifukiza utapona
Au tafuta kitabu kinaitwa the magic can't work on me ni kigumu kufanya yale ila ukiweza hakuna wa kukugusa hata ukaibe kwa Mganga
matatizo mengine, ila mpaka anafariki ilikuwa haisimamiAlifariki sababu ya uume kutosimama au matatizo mengine?
Ila bahati nzuri si ana watoto angalau?matatizo mengine, ila mpaka anafariki ilikuwa haisimami